Africans are "misplaced human beings" in this planet

Africans are "misplaced human beings" in this planet

Kila mwanadamu aliishi porin man is a cave dweller waafrica tulichelewa kidogo kutoka mapangoni
 
mwafrika ni nani? je ni mtu mweusi, mtu mwenye asili ya afrika au mtu anayeishi bara afrika tuanzie hapa kwanza.
Swali gumu hilo.pia tunaweza ligeuza tukauliza ,mzungu ni nani?Je ni mtu mweupe anayeishi bara la Ulaya?
 
Kuugua kipindupindu maanayake ni kuwa umekula kinyesi cha binadamu tena kibichi. Mnamo karne ya 18 huko marekani ktk miji mikubwa watu walikuwa wanakufa kama panya. Walipata shida sana
Kwa sababu walikuwa hawajavumbua indoor plumbing na wanakaa magorofani. Unajisaidia kwenye ndoo usiku halafu asubuhi ndio foleni ya kwenda kumwaga kinyesi huko chini.
 
Swali gumu hilo.pia tunaweza ligeuza tukauliza ,mzungu ni nani?Je ni mtu mweupe anayeishi bara la Ulaya?
Kwa sababu mzungu, "Caucasian" inajumuisha Mwarabu, Mhindi, Mturuki na Mzungu kama tunavyomjua. Wote hao wana tabaka tofauti za maendeleo.
 
Mkuu umenisononesha sana na uzi wako! nimeumia sana
Binafsi najivunia kuwa Mwafrika,tena Mungu Amenipatia zawadi kubwa sana,Tafuta historia yako,akili kama hizo ndio zimefanya makaka wengi leo wamegeuka mashoga kwa wazungu
We have Brilliant History.....They have powerful Media,nakushauri ukasome kitabu kinaitwa They come before Columbus,Before The Mayflower,The Destruction Of Black Civilization,alafu kama utapenda kasome na how europe under developed Africa,ukimaliza hvo niambie nikutajie na vingine
Humo utapata story za watu weusi,watu wanaosadikika kuwa ndio wamiliki wa nchiya israel,msome mansa Musa tajiri mweusi toka karne ya kumi na tatu,tajiriambaye mpaka leo hajatokea wa kumpiku,tajir aliyeenda kuhiji maka na dhahabu mpaka uchumi wa maka ukatikisika,ulikuja kukaa sawa miezi 11 baada,soma sewage system ya Egypt,Mwafrika ndo mtu wa kwanza kuyakata maji baharini kwenda nchi za amerika na ulaya muda huo hata columbus mfalme wake hajazaliwa,columbus ni kizazi chatatu,black alishafika,akafuata phoenician ndio columbas,black ndio mtu pekee alikuwa ame advance katika technolojia ya kwenye maji,ilikuwa ina tengenezwa mitumbwi inabeba mpaka ton 70,na hyo mitumbwi ilikuwa miti yake inanunuliwa nchi za Brazil,kwa kubadilishanana writting pads,kwani Egypt tayarilikuwa imesha kuwa kinara masula ya elimu,naijeria pia! ukisema kwa utajiri,westAfrika ilikuwa na utajir wa dunia nzima
Misri kulikuwa kuna miti ya kutengenezea mashua iliachwa makusudi kwa ajili yakutunza mazingira,wahindi weusi walikuwa vibaraka wkubwa wa waafrika,
Unasemajemtu mweusi alishindwa kuyatawala mazingira?unauhakika? watuwa east Afrika ndio watuwa kwanza Afrika kukata maji kwenda china na kumpelekea mfalme wanchi hiyo zawadi ya tembo,hivi unajua kua Suni Ali alikuwana watumwa 1000 wakiwemo wazungu?
 
angalia video hii ujue mtu mweusi ni nani hapa duniani
 
Mkuu umenisononesha sana na uzi wako! nimeumia sana
Binafsi najivunia kuwa Mwafrika,tena Mungu Amenipatia zawadi kubwa sana,Tafuta historia yako,akili kama hizo ndio zimefanya makaka wengi leo wamegeuka mashoga kwa wazungu
We have Brilliant History.....They have powerful Media,nakushauri ukasome kitabu kinaitwa They come before Columbus,Before The Mayflower,The Destruction Of Black Civilization,alafu kama utapenda kasome na how europe under developed Africa,ukimaliza hvo niambie nikutajie na vingine
Humo utapata story za watu weusi,watu wanaosadikika kuwa ndio wamiliki wa nchiya israel,msome mansa Musa tajiri mweusi toka karne ya kumi na tatu,tajiriambaye mpaka leo hajatokea wa kumpiku,tajir aliyeenda kuhiji maka na dhahabu mpaka uchumi wa maka ukatikisika,ulikuja kukaa sawa miezi 11 baada,soma sewage system ya Egypt,Mwafrika ndo mtu wa kwanza kuyakata maji baharini kwenda nchi za amerika na ulaya muda huo hata columbus mfalme wake hajazaliwa,columbus ni kizazi chatatu,black alishafika,akafuata phoenician ndio columbas,black ndio mtu pekee alikuwa ame advance katika technolojia ya kwenye maji,ilikuwa ina tengenezwa mitumbwi inabeba mpaka ton 70,na hyo mitumbwi ilikuwa miti yake inanunuliwa nchi za Brazil,kwa kubadilishanana writting pads,kwani Egypt tayarilikuwa imesha kuwa kinara masula ya elimu,naijeria pia! ukisema kwa utajiri,westAfrika ilikuwa na utajir wa dunia nzima
Misri kulikuwa kuna miti ya kutengenezea mashua iliachwa makusudi kwa ajili yakutunza mazingira,wahindi weusi walikuwa vibaraka wkubwa wa waafrika,
Unasemajemtu mweusi alishindwa kuyatawala mazingira?unauhakika? watuwa east Afrika ndio watuwa kwanza Afrika kukata maji kwenda china na kumpelekea mfalme wanchi hiyo zawadi ya tembo,hivi unajua kua Suni Ali alikuwana watumwa 1000 wakiwemo wazungu?
Kwa hiyo kiongozi, hapa tunaweza kuhitimisha kwamba 'mwafrika ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko mzungu?'
 
Mleta maada ni msomi koko.Alitakiwa aandike baadhi ya waafrika kama yeye sio waafrika wote.Wako akina Dangote,Akina BAKHRESA,Akina Mengi na watu kama mimi tunajitambua na hatuna sifa hizo alizozitaja za baadhi ya hao waafrika
Unaongea katika statistics zipi katika community ya hao watu weusi Au subsaharan Africans ? Negligible!
Tanzania hakuna middle class, ukitoka juu puu chini. Hebu lete statistics za kuonyesha Europe, Americas and Asia kuna ulinganisho mdogo.

Subsaharan Africa Ni South Africa labda kidogo Nigeria kuna middle class which is growing. Tanzania, Congos, Uganda, etc I mean the rest Hakuna Kitu. The ruling class then walala hoi.

Dangote, Mengi Na hao wengine Siyo middle class in upper class of the society!!
 
Asante ndugu, huyu jamaa inaonekana ana matatizo makubwa ya kisaikolojia!
Muuza ubuyu
Mie naona tofauti Ati, Wewe jiulize:
Critically; pekua internet, angalia kila kona hapo ulipo halafu utoe jibu.
= high crime rate - weusi - Africans
- poverty - African subsaharan
- omba omba - subsaharan Africans
- family zilizosambaratika kwa vita, njaa Na magonjwa subsaharan Africa
- dictatorship
The list is long-------

Mtoa mada Au nyie Ndiyo hamko Sawa upstairs!!!??
 
Mkuu umenisononesha sana na uzi wako! nimeumia sana
Binafsi najivunia kuwa Mwafrika,tena Mungu Amenipatia zawadi kubwa sana,Tafuta historia yako,akili kama hizo ndio zimefanya makaka wengi leo wamegeuka mashoga kwa wazungu
We have Brilliant History.....They have powerful Media,nakushauri ukasome kitabu kinaitwa They come before Columbus,Before The Mayflower,The Destruction Of Black Civilization,alafu kama utapenda kasome na how europe under developed Africa,ukimaliza hvo niambie nikutajie na vingine
Humo utapata story za watu weusi,watu wanaosadikika kuwa ndio wamiliki wa nchiya israel,msome mansa Musa tajiri mweusi toka karne ya kumi na tatu,tajiriambaye mpaka leo hajatokea wa kumpiku,tajir aliyeenda kuhiji maka na dhahabu mpaka uchumi wa maka ukatikisika,ulikuja kukaa sawa miezi 11 baada,soma sewage system ya Egypt,Mwafrika ndo mtu wa kwanza kuyakata maji baharini kwenda nchi za amerika na ulaya muda huo hata columbus mfalme wake hajazaliwa,columbus ni kizazi chatatu,black alishafika,akafuata phoenician ndio columbas,black ndio mtu pekee alikuwa ame advance katika technolojia ya kwenye maji,ilikuwa ina tengenezwa mitumbwi inabeba mpaka ton 70,na hyo mitumbwi ilikuwa miti yake inanunuliwa nchi za Brazil,kwa kubadilishanana writting pads,kwani Egypt tayarilikuwa imesha kuwa kinara masula ya elimu,naijeria pia! ukisema kwa utajiri,westAfrika ilikuwa na utajir wa dunia nzima
Misri kulikuwa kuna miti ya kutengenezea mashua iliachwa makusudi kwa ajili yakutunza mazingira,wahindi weusi walikuwa vibaraka wkubwa wa waafrika,
Unasemajemtu mweusi alishindwa kuyatawala mazingira?unauhakika? watuwa east Afrika ndio watuwa kwanza Afrika kukata maji kwenda china na kumpelekea mfalme wanchi hiyo zawadi ya tembo,hivi unajua kua Suni Ali alikuwana watumwa 1000 wakiwemo wazungu?
Asante ndugu. Nimetafuta jibu kama lako. Kidogo ningekata tamaa. Hakuna kitu kinacho nisikitisha kama kutokujua historia yetu. Bahati mbaya elimu yetu inafundisha zaidi historia ya utumwa na biashara. Ninaamini kabisa waafrika tuliweza kuishi vizuri, kwa teknolojia iliyoakisi mazingira yetu; bila kuharibu mazingira kama teknolojia nyingi za siku hizi. Tulikuwa na dawa za mitishamba zilizoweza kupatikana na mtu yeyote bila kujali ana hela ya kununulia au la.

Tulikuwa na matatizo yetu pia na ukomo wa ujuzi lakini hatukuwa mbumbumbu kama tunavijalaumu huku. Shida kubwa hatukuwa na namna ya kuweka rekodi vizuri kama wenzetu na nyingi zilizokuwepo ziliharibiwa makusudi. Kutokujua historia yetu vizuri ndio tatizo kubwa la kutokufahamu thamani yetu.

Nashukuru kwa vitabu. Nitaenda kuvitafuta.
 
Muuza ubuyu
Mie naona tofauti Ati, Wewe jiulize:
Critically; pekua internet, angalia kila kona hapo ulipo halafu utoe jibu.
= high crime rate - weusi - Africans
- poverty - African subsaharan
- omba omba - subsaharan Africans
- family zilizosambaratika kwa vita, njaa Na magonjwa subsaharan Africa
- dictatorship
The list is long-------

Mtoa mada Au nyie Ndiyo hamko Sawa upstairs!!!??

Kuna kitu kimoja ambacho wazungu wamefanikiwa sana....na watazidi kufanikiwa kwa miongo mingi kama sio karne nyingi.....mawazo ya hicho kitu yaliona mbali....na ndicho kinachozidi kutuangamiza wa Afrika....na dunia kwa ujumla

Kitu chenyewe sio kingine bali kuweza kucontrol vyombo vya habari......media na taarifa zote za ulimwengu huu

Kwa asilimia zaidi ya kubwa ni kuwa habari nyingi au taarifa nyingi unazozipata sio sahihi kwani kuna watu wameamua wewe upate hizo taarifa.....ndio maana kuna mkanganyiko mkubwa kwenye kupata taarifa sahihi kwenye ulimwengu huu unaoendeshwa kwa propaganda......

Wazungu wanafanya kila mbinu kumfanya mtu mweusi aonekane dhaifa na hata yeye mwenyewe ajione dhaifu....na wanafanya hivyo kupitia njia mbali mbali.....lakini kubwa ni vyombo vya habari......kama utakuwa makini na hili unaweza kung'amua kwani lipo wazi sana.....

Wazungu wanapojifanya kuunda mabalaza ya usuluhishi kwenye migogoro ya Afrika sio kwamba nia yao ni kuona amani itawale afrika bali ni kuzidi kuyapa headline matatizo ya afrika....na waafrika kwa ujumla......wazungu ni watu wanafiki sana na ni ngumu sana kugundua hila zao kwani wamejificha kichaka cha ubinaadamu......

Kuna mambo mengi sana yamejificha kwenye umasikini na migogoro isiyoisha Afrika na dunia kwa ujumla....ni mengi ambayo ukipata kuyajua unaweza ukazimia kwa mshangao......

Wapo baadhi wameshajua hila na unafiki wa wazungu na ndo hao wakina Bashar Al Asad na wengine wengi wanaopigana kutetea mataifa yao....ugumu ni kwamba ni wachache mno wenye kuyaelewa haya mambo....kwani asilimia kubwa ya dunia imetekwa na propaganda za vyombo vya habari vya magharibi.......

Ni rahisi sana kurushwa hewani kwa tukio la mtu mweusi kumuua mweusi mwenzie kuliko hata tukio la waziri mkuu wa uingereza akifanya ziara.......kwao tukio la mtu mweusi akifanya uhalifu ni la muhimu kwenye propaganda zao kuliko hata kiongozi wao mkuu........

Kila siku unaweza ukaona kwenye luninga picha za watu weusi wakifa na njaa lakini kamwe huwezi kuona picha za wazungu wakifa vibudu nje kwa baridi kali na kukosa makazi.........

Hivyo ndivyo dunia ya sasa inavyokwenda.....unatakiwa utumie vyema milango yako ya fahamu pindi inapokujia habari....na sio kuichukua kama ilivyo.....

Nina marafiki zangu wengi tu wanaoishi ulaya....wananiambia kuwa walivyokuwa wanafikria wazungu sivyo walivyo.......

UTU WA MTU UNAANZA NA MTU KUJIPENDA YEYE MWENYEWE KWANZA....
 
Muuza ubuyu
Mie naona tofauti Ati, Wewe jiulize:
Critically; pekua internet, angalia kila kona hapo ulipo halafu utoe jibu.
= high crime rate - weusi - Africans
Wapi Afrika?
- poverty - African subsaharan
- omba omba - subsaharan Africans
India inaongoza kwa umaskini na omba omba.

- family zilizosambaratika kwa vita, njaa Na magonjwa subsaharan Africa
- dictatorship
Mashariki ya Kati kuna vita visivyoisha.
Putin ni mtu mweusi? Na yeye si dictator? Au Kim Jong Il..
 
Waafrica wengi wanadumazwa na aina ya watu wanaowazunguka,kuanzia wazazi,marafiki na majirani,unakuta mtu hafanyi anachoamini ila anafanya kitu ili wazazi na majirani wamsifie,unakuta mtu amekopa milioni 10 bank kisha anaenda kufungia ndoa,utasikia wazazi wanataka nifunge ndoa vinginevyo watanilaani,kitu ambacho si kweli...

Waafrika kama tutaamua kutumia ubongo wetu ipasavyo hata hao wazungu hawawezi kutufikia,..
 
Mkuu umenisononesha sana na uzi wako! nimeumia sana
Binafsi najivunia kuwa Mwafrika,tena Mungu Amenipatia zawadi kubwa sana,Tafuta historia yako,akili kama hizo ndio zimefanya makaka wengi leo wamegeuka mashoga kwa wazungu
We have Brilliant History.....They have powerful Media,nakushauri ukasome kitabu kinaitwa They come before Columbus,Before The Mayflower,The Destruction Of Black Civilization,alafu kama utapenda kasome na how europe under developed Africa,ukimaliza hvo niambie nikutajie na vingine
Humo utapata story za watu weusi,watu wanaosadikika kuwa ndio wamiliki wa nchiya israel,msome mansa Musa tajiri mweusi toka karne ya kumi na tatu,tajiriambaye mpaka leo hajatokea wa kumpiku,tajir aliyeenda kuhiji maka na dhahabu mpaka uchumi wa maka ukatikisika,ulikuja kukaa sawa miezi 11 baada,soma sewage system ya Egypt,Mwafrika ndo mtu wa kwanza kuyakata maji baharini kwenda nchi za amerika na ulaya muda huo hata columbus mfalme wake hajazaliwa,columbus ni kizazi chatatu,black alishafika,akafuata phoenician ndio columbas,black ndio mtu pekee alikuwa ame advance katika technolojia ya kwenye maji,ilikuwa ina tengenezwa mitumbwi inabeba mpaka ton 70,na hyo mitumbwi ilikuwa miti yake inanunuliwa nchi za Brazil,kwa kubadilishanana writting pads,kwani Egypt tayarilikuwa imesha kuwa kinara masula ya elimu,naijeria pia! ukisema kwa utajiri,westAfrika ilikuwa na utajir wa dunia nzima
Misri kulikuwa kuna miti ya kutengenezea mashua iliachwa makusudi kwa ajili yakutunza mazingira,wahindi weusi walikuwa vibaraka wkubwa wa waafrika,
Unasemajemtu mweusi alishindwa kuyatawala mazingira?unauhakika? watuwa east Afrika ndio watuwa kwanza Afrika kukata maji kwenda china na kumpelekea mfalme wanchi hiyo zawadi ya tembo,hivi unajua kua Suni Ali alikuwana watumwa 1000 wakiwemo wazungu?
Muuza ubuyu
Mie naona tofauti Ati, Wewe jiulize:
Critically; pekua internet, angalia kila kona hapo ulipo halafu utoe jibu.
= high crime rate - weusi - Africans
- poverty - African subsaharan
- omba omba - subsaharan Africans
- family zilizosambaratika kwa vita, njaa Na magonjwa subsaharan Africa
- dictatorship
The list is long-------

Mtoa mada Au nyie Ndiyo hamko Sawa upstairs!!!??
Achana na hao mkuu.
 
Back
Top Bottom