Africans are "misplaced human beings" in this planet

Africans are "misplaced human beings" in this planet

Kuna tatizo kubwa la asili kuhusu mwaafrika linalotutesa mpaka leo hii.
Ndio haya ya madini leo hii.

Sisi tuliumbwa kutawaliwa na hawa watu na hii ni kutokana na ujinga wetu.

Ujinga huu ni pamoja na kusaini hii mikataba ya hovyo hovyo.
 
Najivunia uafrika wangu. Hatukuumbwa kwa bahati mbaya wala hatujawa misplaced. Hebu jiangalie ngozi yako, healthy na iko very strong kuhimili chochote, strong body.... , na akili pia tunazo.

Kinachotokea ni kwamba .... tulibweteka kwa kuwa hatukuwa na shida ya chochote. Sie hata tukilala majanini na mitini hakuna tatizo la ngozi wala nini. Angalia wazungu, kwa jinsi walivyo maselule ndio maana wanahangaika huku na kule ili angalau wasiugue. Si unajua kwenye miti hakuna wajenzi.... ndio africa. Hawa wengine wanahangaika kwa kuwa hawakustahili kuwepo duniani..... Ngozi nyeusi raha banaaaa......... ndoho taabu!
 
Umenikumbusha daktari bingwa wa upasuaji wa ubongo marekani na mwanasiasa anayewakilisha chama cha Republicans,chama ambacho ni nadra kumkuta mtu mweusi anayekishabikia,naye si mwingine ni Dr Ben Carson ambaye amekuwa akiwakebehi watu weusi.Mwanzoni nilikuwa na mshangaa na kutomuelewa,lakini nilipokutana na African-Americans nikagundua kwa nini huyu mtu japo ni mwenye asili ya Africa mzaliwa wa Marekani lakini anajaribu kujidistance na hao wenzake.Kwa sababu ya vijitabia ulivyovisema mkuu.Wazungu wanatushangaa sana.Angalia viongozi wetu,ambayo ni broad picture ya tabia zetu,ndo utajua sisi ni binadamu was ajabu.Angalia ya Zuma,Mugabe etc
 
Mtoa mada anaonyesha kuwa sehemu kubwa ya maisha yake ameyatumia kwa kufanya kazi za ndani kwa wazungu...au ameishi ulaya katika sehemu yenye ubaguzi wa kiwango cha juu sana.....

Kama hao wazungu wangewaza kama yeye wakati maendeleo yalipoongozwa na nchi za mashariki ya kati basi hata hao weupe anaowaabudu angewanyea pia!
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
Soma hapo nilipo-bold ndio ujue mtu mweu ni kama alilaniwa.

Haya yanayoendelea sasa ni ushahidi tosha.
 
Kimsingi hao wenye tekinolojia ni watumishi wa Waafrika, wao wanaumiza kichwa wanagundua vitu vizurizuri, Mwafrika yeye kazi yake ni kutafuta pesa na kuvitumia tu, hamna haja ya kuumiza kichwa
MWafrica aliye tajiri kabisa anashika nafasi ya ngapi kwa utajiri duniani?
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.

Ni kama kuna ka ukweli kidogo

Mi mwenyewe uwa najiuliza sisi ngozi nueusi tuna tatizo gani
 
Ni kama kuna ka ukweli kidogo

Mi mwenyewe uwa najiuliza sisi ngozi nueusi tuna tatizo gani

Kabla hujauliza kujumlisha wenzako, jiulize kwanza ni nini cha mhimu umeshafanya hapo ulipo, je umeshawahi kusomesha angalau watoto 2 wala wasiyo ndugu zako kabisa? if not you are the problem to start with.
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.

CC: KakaKiiza
 
Shombo tu kama ya shithole mwenzio trump,wale wenye tabia za kishithole ndio waishi kwenye kwenye jungle
Upuuzi wa baadhi ya Africans mm haunihusu so usinijumuishe humo
 
wazungu ndiyo hawakustahili kuishi duniani kwa sababu wanategemea rasilimali kutoka mabara mengine!
Unadhani huko kwao hazipo. Endelea kujidanganya.

Hakuna easichokuwanacho.

Kama ni madini wamesitisha kuchimba ya kwao ili yako yaishe. Wanayo ya kila aina na wamewahi kuyachimba.
 
Kimsingi hao wenye tekinolojia ni watumishi wa Waafrika, wao wanaumiza kichwa wanagundua vitu vizurizuri, Mwafrika yeye kazi yake ni kutafuta pesa na kuvitumia tu, hamna haja ya kuumiza kichwa
Tatizo ni kusali badala ya kufikiria. Tunatatua matatizo yetu kwa sala badala ya kutumia sayansi.
 
Back
Top Bottom