Mkuu unaonekana mtu wa kupenda sifa sanaKitu kimoja ambacho lazima ukifahamu vizuri ni kwamba Waafrika weusi tumegawanyika kwenye makundi mawili.
Kundi la kwanza asili yao ni nyani wewe ni mmoja wapo.
Kundi la pili ni uzao wa Adam na Hawa/Eva humo mimi nipo, Nyerere yupo, Mandela yupo, Kwame Nkhruma yupo and likes.
Unapoongelea kwamba Waafrika hakuna tunaloliweza unashangaza sana hebu tuletee Mzungu atuchongee kinyago cha mmakonde kwanza ndio utaelewa nasema nini.
Pia hao wazungu unaodhani wana teknolojia walete Tanzania watujengee pyramid kama zile za kule Giza Egypt tutawalipa pesa yoyote waitakayo.
Cha mwisho kwa kukusaidia ufunguke akili tatizo la Waafrika ni maandishi hakuna maandishi yalioyoachwa na babu zetu historia nyingi ya Muafrika wameandika wazungu ndio maana hata mtu kama wewe uliyotokana na nyani umekuwa confused.
Wazee wetu wa zamani ni well talented, wala hawakuhitaji kuvaa saa kujuwa wakati, tangu asubuhi juwa linatoka mpaka linazama wanajuwa ni saa ngapi, tangu mbalamwezi inatoka hadi kunakuchwa hata umkurupushe usingizini nane usiku ukimuuliza saa yeye akiangalia mbalamwezi anakujibu.
Loading......
Mkuu pole sana ila jamaa yupo sahihi.hivi umewahi kusikia Obama akiwaita Republican kuwa ni maadui wake? Umewahi kuona wabunge wa Republican wakifukuzwa kwenye Congress zao? Je hawambishii rais na serikali yake?je umewahi kusikia Democratic ikiwaignore kwa kuwa wana bishia kila kitu?pole sana tena
Hapa siongelei utajiri bali naongelea uwezo wetu sisi Waafrika kumudu mazingira tunayoishi.Mleta maada ni msomi koko.Alitakiwa aandike baadhi ya waafrika kama yeye sio waafrika wote.Wako akina Dangote,Akina BAKHRESA,Akina Mengi na watu kama mimi tunajitambua na hatuna sifa hizo alizozitaja za baadhi ya hao waafrika
Mkiambiwa mko sawa na wale wa Serengeti mtabisha?Sisi waafrika tulitakiwa kuishi msituni kama sokwe au nyani huku mjini tumepewa offer tu
Hapa siongelei utajiri bali naongelea uwezo wetu sisi Waafrika kumudu mazingira tunayoishi.
Hao matajiri unaowataja utajiri wao ni matokeo ya kutumia teknolojia ya mtu mweupe kuzalisha bid
dhaa wanazotengeneza katika viwanda vyao na kuziuza.
Tazama mfano huu:Malaria ni ugonjwa unaopatikana zaidi Africa na Waafrika ndio tunaathirika zaidi na ugonjwa huu.
Swali ni je,dawa ya kutibu Malaria iligunduliwa na Mwafrika?Walioweza kugundua namna ugonjwa huu unavyoambukiza(mode of transmisssion) ni Waafrika?Malaria ingekuwa haina dawa, Tanzania ya leo ingekuwaje?
Kwa mfano huo tu,nikisema Waafrika tumeshindwa kuyatawala mazingira tunayoishi bali tuna-survive kwa msaada wa watu kutoka mabara mengine nitakuwa nakosea?
Mitishamba gani leo hii inatibu kipindupindu?Kipindupindu kingekuwa hakina dawa, leo hii bara hili lingekuwa na watu?
Tukubali ni Mungu ndio alipanga iwe hivi na si kosa letu.
Kweli tunastahiki kuishi porini
Ibambasi soma hapa utanielewa na kukubali ukweli japo ni mchungu.Hapa siongelei utajiri bali naongelea uwezo wetu sisi Waafrika kumudu mazingira tunayoishi.
Hao matajiri unaowataja utajiri wao ni matokeo ya kutumia teknolojia ya mtu mweupe kuzalisha bid
dhaa wanazotengeneza katika viwanda vyao na kuziuza.
Tazama mfano huu:Malaria ni ugonjwa unaopatikana zaidi Africa na Waafrika ndio tunaathirika zaidi na ugonjwa huu.
Swali ni je,dawa ya kutibu Malaria iligunduliwa na Mwafrika?Walioweza kugundua namna ugonjwa huu unavyoambukiza(mode of transmisssion) ni Waafrika?Malaria ingekuwa haina dawa, Tanzania ya leo ingekuwaje?
Kwa mfano huo tu,nikisema Waafrika tumeshindwa kuyatawala mazingira tunayoishi bali tuna-survive kwa msaada wa watu kutoka mabara mengine nitakuwa nakosea?
Mitishamba gani leo hii inatibu kipindupindu?Kipindupindu kingekuwa hakina dawa, leo hii bara hili lingekuwa na watu?
Tukubali ni Mungu ndio alipanga iwe hivi na si kosa letu.
Ha ha ha ha haaaa.....You can't be serious!!!!Tatizo Umewaza sana mkuu.ukiijua nafasi yako ya unyani hutohangaika kuwaza
Mitishamba gani leo hii inatibu kipindupindu?Kipindupindu kingekuwa hakina dawa, leo hii bara hili lingekuwa na watu?
kabla wazungu hawajaanza kuja kwetu,hapakuwa na malaria wala kipindupindu,tumeish miaka yote kabla tukiumwa na kujitibu kwa tech zetuHapa siongelei utajiri bali naongelea uwezo wetu sisi Waafrika kumudu mazingira tunayoishi.
Hao matajiri unaowataja utajiri wao ni matokeo ya kutumia teknolojia ya mtu mweupe kuzalisha bid
dhaa wanazotengeneza katika viwanda vyao na kuziuza.
Tazama mfano huu:Malaria ni ugonjwa unaopatikana zaidi Africa na Waafrika ndio tunaathirika zaidi na ugonjwa huu.
Swali ni je,dawa ya kutibu Malaria iligunduliwa na Mwafrika?Walioweza kugundua namna ugonjwa huu unavyoambukiza(mode of transmisssion) ni Waafrika?Malaria ingekuwa haina dawa, Tanzania ya leo ingekuwaje?
Kwa mfano huo tu,nikisema Waafrika tumeshindwa kuyatawala mazingira tunayoishi bali tuna-survive kwa msaada wa watu kutoka mabara mengine nitakuwa nakosea?
Mitishamba gani leo hii inatibu kipindupindu?Kipindupindu kingekuwa hakina dawa, leo hii bara hili lingekuwa na watu?
Tukubali ni Mungu ndio alipanga iwe hivi na si kosa letu.
Wengi wenu mnabisha ila huenda baadhi yenu mlizaliwa kwa upasuaji(surgery).kabla wazungu hawajaanza kuja kwetu,hapakuwa na malaria wala kipindupindu,tumeish miaka yote kabla tukiumwa na kujitibu kwa tech zetu
Africa ni sehemu muafaka sana kuishi. Mazingira ya ulaya ni magumu sana kwa mwanadam kuishi. Kipindupindu,malaria,polio.....yote hayo yalianzia huko kwao. Na viliwatesa sana.Samahani kipindupindu ni ugonjwa wa wazungu ndio maana unatibika kwa dawa za wazungu
Ndio maana ukiambiwa zungusha mikono wewe unazungusha tu bila hata kuhoji....Watu ni Mungu ndio alipanga iwe hivi na si kosa letu.
Kuugua kipindupindu maanayake ni kuwa umekula kinyesi cha binadamu tena kibichi. Mnamo karne ya 18 huko marekani ktk miji mikubwa watu walikuwa wanakufa kama panya. Walipata shida sana
Wengi wenu mnabisha ila huenda baadhi yenu mlizaliwa kwa upasuaji(surgery).
Africa ni sehemu muafaka sana kuishi. Mazingira ya ulaya ni magumu sana kwa mwanadam kuishi. Kipindupindu,malaria,polio.....yote hayo yalianzia huko kwao. Na viliwatesa sana.