Africans are "misplaced human beings" in this planet

Africans are "misplaced human beings" in this planet

Wataalamu naomba mnisaidie kwa anaejua je melanin imefanyiwa utafiti wa kutosha kuona kwamba effects yake ni kusaidia UV rays tu? Haina other hormonal effects? Maana wasiwasi wangu ni kwamba kwanini watu wenye melanin zilizojitosheleza we relax so easy? Why do we find every condition is a comfort zone to us? Why are we so lazy mentally? Yaani tumefika na anaetaka kututoa tulipo anakuwa adui.

Isije ikawa melanin ina -ve catalyst to the brain intelligence hususani kwenye problem solving. Yaani tunajiona tumefika sana na vyoo vyetu vya kulenga.
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
Shukran sana na Pole pia umejitahidi sana kuelezea mtazamo wako kuhusu waafrika kwa upande wako uko sahihi lakini tupo na sisi ambao tunaiona afrika au waafrika kitofauti kabisa,

Tatizo mm ni mvivu ku type 1. navyoujua mm Afrika ndio chimbuko la technology ya mwanzo kabisa, ujenzi , maandishi, kilimo, Irrigation , Utawala n,k
2. hao wazungu unaowataja na wao ktk wakati huko walikuwa watumwa/makoloni ya watu wengine kama uingereza , ufaransa n.k
3. Tatizo kubwa ninaloliona kwako nadhani (elimu) Hujasoma vizuri Historia ya ULIMWENGU WOTE, ULAYA , AFRIKA, ASIA kwa kina anza kabla ya yesu Utagundua kuwa afrika tuko vizuri sana tofauti kabisa na unavyofikiri.
4. Kumbuka kwamba watawala wa ulimwengu huu wanavyobadilika, kiteknolojia , Ulaya ya kusini ndio iliongoza mfano wagriki ndio wa kwanza kugundua umeme leo wako wapi ? wamisri (Waafrika)wa kwanza kwa maandishi , ujenzi, nguo leo wako wapi ? leo anaongoa USA

5. Mimi naamini iko siku japo sio hvi karibuni AFRIKA ITAAONGOZA ULIMWENGU KAMA ILIVYO USA SASA ishara zipo nyingi sana na za wazi wazi kama unvyoweza kuiona china inavyojitokeza au ULAYA KUSINI ILIVYOZAMA.
 
Hapana hajajiona duni kauliza swali na katoa hoja kuhusu uwezekano wa kutostahili kwa waafrika kuwepo katika sayari hii kwa sababu ya kutomudu mazingira ...

Aidha kama tulikusudiwa kuwepo katika sayari hii basi imekusudiwa kuwa lazima tuwepo chini ya uangalizi wa wahusika waliopewa maarifa ya mamlaka ambayo sisi tumenyimwa licha ya kuwa na rasilimali zote zinazotuwezesha kuwa na mamlaka hayo sisi wenyewe ...

Sasa wewe ambae sio duni umewezaje kutatua hili mbona mpaka leo tunatawaliwa tu na hatuwezi kujitawala wenyewe???

Kibaya zaidi tunatawaliwa sisi na rasimali zetu wao ndio wanatupangia nini chakufanya kwa faida zao ambazo gharama yake ni migogoro mitupu wanayotuachia miongoni mwetu kwa makusudi ili tuchomoane nafsi na wao waendelee kuvuna faida maradufu ...

Haya wewe ambae sio duni umefanya nini au hao uliowachagua wamefanya Nini???

Ama hakika muandishi amepatia sana sisi utawala wetu unaishia kwa ukoo na familia baaaasssiii baraka ya kuzaa watoto tu ili uje uwatafte lawama badae kisa hawakutumii misaada, wewe uliwajengaje ili wakusaidie???

Shubaaaaamit
 
Kila siku unakesha kisikiliza matangazo ya mambo mazuri ya huko ughaibuni basi unadhani wote wapo hivyo
 
Waafrika kusini teyari wamethibitisha ulisemalo.
Hivi akina Hitler na Himmler nao walikuwa waafrika pia? Au akina Slobodan Milosevic nao walikuwa Waafrika?. Au ni ile ya syndrome ya Kiafrika ya Mzungu kutudharau na wenyewe kujidharau!
 
Mtoa mada anaonyesha kuwa sehemu kubwa ya maisha yake ameyatumia kwa kufanya kazi za ndani kwa wazungu...au ameishi ulaya katika sehemu yenye ubaguzi wa kiwango cha juu sana.....
Ungejikita kwenye hizo challenge alizozitoa badala ya kujibu juju mkuu. Inasemekana moja kati ya mtu kua na fikra ndogo ni ile tabia ya kujadiri mtoa HOJA badala ya kuijadiri HOJA
 
Acha kujihusisha na vitu vya mbali na vilivyo nje ya uwezo wako hiyo ni dalili ya uvivu na mtu aliyeshindwa maisha, hauna sababu wala haja ya kulia lia na kulalamika kila kitu kipo wazi unaweza kuanza kuborehsa palipokuzunguka, anza na wewe nenda br. na chukuwa mtoto mmoja asiye na wazazi wala walezi asiye na pa kulala isipokuwa kwenye sakafu nje na msaidie badala ya kupoteza muda hapa kuja na maswali ambayo hauna majibu huwo ni uvivu tu na roho mbaya na hamna kingine!
Ila akili kama hizi ni za mtu? Umeandika nini? what is your implication?
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,jipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi.Je,unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine?

Mnyama akila akashiba inatosha kabisa na anakuwa ameridhika na ninaweza kusema anamudu mazingira yake.Lakini,je na wewe binadamu hali ni hiyo?

Hebu turudi kidogo kwenye historia.Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa(teknolojia n.k),je huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala:
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika,Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi:
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu?Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa,kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari,ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili,kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
Katika evolutionary tree tuko Chini kabisa, we are at the early times of evolution
 
Badala ya kukasirika na kuvimba kwa nitakachokiandika,j ipe muda kwanza wa kuyatafakari maneno yangu kabla ya kunihukumu na pengine kutukana n.k.

Tukirudi kwenye mada, hivi wewe mwafrika mwenzangu una amini kweli sisi waafrika tulipaswa kuishi katika hii sayari?

Mnyama, kwa mfano, ana kitu kinaitwa "adaptation" kinachomwezesha kuyakabili na kuyamudu mazingira anayoishi. Je, unafikiri sisi Waafrika tunayamudu na kuyatawala mazingira tunayoishi ili tuishi vizuri kama viumbe wengine bila msaada wa watu weupe?

Tutambue kwa wanyama, Mnyama akiweza kupata chakula, akapambana na magonjwa, hali ya hewa na mazingira yanayomzunguka kwa ujumla, inatosha kabisa kusema anamudu mazingira yake mradi tu anaweza ku-survive katika mazingira hayo ya asili.

Lakini, j e na wewe binadamu hali ni hiyo?Bila shaka jibu ni hapana kwani binadamu anahitaji kutumia akili na maarifa kubuni na kutengeneza vitu na dhana mbalimbali: vifaa vya mahosipitalini, madawa, mitambo, makazi, zana za ujenzi,vyombo vya usafiri, n.k ili aweze kuishi katika hii sayari au kuyafanya mazingira ya hii sayari kuwa rafiki kwa yeye kuishi.

Sasa hebu turudi kidogo kwenye historia. Historia inatufundisha kuwa watu kutoka mabara mengine: wazungu,waarabu, n.k, walikuja Afrika kutafuta maliasili kwa ajili ya viwanda vyao huko ulaya na pia kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha huko Ulaya na kwingineko.

Maswali ya kujiulizi:

Sisi Waafrika tuligundua kuwa tuna hizi maliasili kabla ya ujio wa hawa wageni kutoka mabara mengine?

Kama tulikuwa hatujui umuhimu wala thamani ya hivi vitu,je unaamini viliumbwa kwa ajili yetu?

Kama kweli viliumbwa kwa ajili yetu, inakuwaje hata tu uwezo na maarifa ya kutambua kuwa hii ni maliasili muhimu inakuwa ni tatizo?

Kingine cha kujiuliza,kama kweli hizi maliasili ziliumbwa na mungu(nature) kwa ajili ya mtu mweusi, inakuwaje mungu huyo huyo atunyime sisi Waafrika uwezo wa kuwa na teknolojia ya ku-process maliasili hizi na badala yake uwezo huo akawapa tu watu kutoka mabara mengine?

Je,huu si ushahidi kuwa sisi tuko katika hii sayari kimakosa tu na wala hatukusatahili?

Kama tulistahili kuishi katika hii dunia na wakati huo huo tumenyimwa maarifa (teknolojia n.k),j e huu si ushahidi kuwa ilipangwa tutawaliwe na watu wengine wenye maarifa kutuzidi?Je,huu si ushahidi kuwa hata ukoloni ulikuwa ni mpango wa mungu(nguvu za asili)?

Uongozi na kujitawala
Ukiangali asili ya mwafrika kujitawala,utagundua tuliumbiwa kujitawala katika ngazi za koo au makabila tu na si kwa ngazi ya leo hii kinachoitwa nchii au Mataifa ya kiafrika.Kabla ya ujio wa Wakoloni hatukuwa na kitu kinachoitwa Tanganyika, Uganda,Zimbabwe, n.k na ndio maana mpaka leo hii Waafrika demokrasia kwa ya kujitawala wenyewe imetushinda.Haya mambo tumelazimishwa tu tulistahili kutawaliwa na machifu na wafalme tu wa makabila yetu.

Maradhi
Inakuwaje sisi Waafrika tuletwe katika hii dunia yenye maradhi mengi ili hali hatukupewa uwezo wa kukabilana na maradhi haya kama kweli tulitakiwa kuishi katika hii sayari?Kuna dawa gani ya asili leo hii inayoweza kutibu ugonjwa kama kipindupindu?Matibabu ya upasuaji bila wageni tungeyaweza wapi?

Kitu kingine.Jiulize ni kwanini samaki anaweza kuishi baharini tu na si nchi kavu na ni kwanini wewe huwezi kuishi baharini bali nchi kavu tu? Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mazingira tunayoishi na uwezo wa kuyatumia/kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi.

Hiyo ni mifano michache tu ila swali kubwa na la muhimu hapa ni kuwa, kama Waafrika tulipangiwa kuishi katika hii sayari, ni kwanini basi tumenyimwa uwezo wa kuyamudu mazingira haya ili tuweze kuishi katika hii sayari bila msaada wa watu kutoka mabara mengine?

Binafsi nina majibu mawili hapa:

Mosi,.hii sayari haikuumbiwa mtu mweusi na pengine tuliletwa hapa duniani kimakosa tu ila kuna sayari ambayo ilitufaa sisi watu weusi isiyo na changamoto hizi ambazo bila wageni tusingeweza hata kuishi.

Pili, kama sisi Waafrika tuliletwa ili tuishi katika hii dunia,basi ni mpango wa mungu(nature) tuishi kwa kutegemea uwepo wa watu wengine na ndio maana mpaka leo hii bado wanatutawala na wataendelea kututawala tu kwa miaka mingi.

Vile vile huenda ilipangwa kuwa tutatawaliwa na kuongozwa na wageni kutoka nje ya bara la Afrika mpaka pale tutakapoweza kujitegemea mithili ya mtoto mdogo anavyolelewa na mzazi wake mpaka aje apate akili na uwezo wa kujitegemea.
It has taken almost 400 years kuiona America na Ulaya unayoiona leo. There's a big possibility kizazi cha 20 huko kitapeleka misaada Ulaya
 
Tatizo ni kukosa intelligence Agencies zenye intelligent personnel.
Afrika inaweza kuendelea kwa Kasi kubwa kuliko mabara mengine kwa sasa kwa kutumia teknolojia ya kimawasiliano duniani.
Ujasusi unatakiwa uvuke mipaka kiuchumi na siyo kutumia nguvu nyingi kulinda tawala za ndani dhidi ya wananchi wao wenyewe.
Kunatakiwa mkakati maalum wa kuwadhibiti kijasusi wageni wote kupitia raia wote kwa uratibu rasmi wa mashirika na taasisi za kijasusi za kitaifa.
 
Back
Top Bottom