African University Ranking

Kama sikosei last year UDSM ilikuwa ranked number 13 katika African Universities, ila mwaka huu hawa jamaa wamei-rank number 18 - meaning imeshuka kwa nafasi 5!
Visit hii link World Universities' ranking on the Web: Top Africa

By the way, huwa ni vigezo gani vinatumika kupima ubora wa University? From what I understand baadhi ya variables in rate ya publications na ranks za academic staff!
 
Huwa zinapanda na kushuka tu!

Nimependa sana pia kuiona Sokoine ktk hii rank..among best 100? ktk Africa!

Tz tuna vyou viwili tu ktk hiyo rank...UDSM na Sokoine! MU, Ardhi na vyuo vingine havipo!

Ila bado mpaka leo hainiingii akilini Mogadishu na University of Somalia ni bora kuliko University of Ghana!
 
Basi kama ni ya 18, itakuwa imepanda kidogo. Hiyo nafasi ya 13 ni kweli ilishawahi kuishika, lakini mimi nijuavyo mara ya mwisho ilikuja kuwa ya 22, sasa kama imekuwa ya 18 itakuwa imepanda na si kushuka.
 

Na ni ya 3,496 Duniani. Naona hii ranking ni kama tu vile ya FIFA ambayo siyo necessarily inamaanisha ubora wa kitu kimoja dhidi ya kingine.
 
These rankings are not academic! Ni web ranking
 
Ila bado mpaka leo hainiingii akilini Mogadishu na University of Somalia ni bora kuliko University of Ghana!
FYI Mogadishu univ ni bora sana tena sana usiangalia vita wale wanaopigana wapo na kula kibao wanakata shule.....fuatilia vigezo utaniambia

afu nyie na kichuo chenu kibovu kibaya chenye hadhi ya chekechekea cha udsm mnakipa creadit sana......
 
nadhani hawa wajamaa wanachukua vyuo ambavyo vinamilikiwa na serikali ndo wanaviweka kwenye rank.
Aibu hata hivyo.
Kila kona tunashika mkia. nadhani tukishindanishwa kwenye ngoma tutaongoza duniani au vipi?
 
"the quality of a university is judged by the number of students it rejects" based on this quote, utagundua in recent years UDSM imeongeza idadi ya wanafunzi inayochukua. Hivyo ultimately hata ubora wake utakuwa-judged Low. Hivyo zisikuchanganye sana hizo ranking zao. Hata ukiangalia university za Uk bora ( Cambridge na Oxford ) nazo zimeshuka kutokana na ku-admit wanafunzi wengi. actually hizi ranking ni very political and business oriented
 
Kwa nini Isishuke? Kama bado tuna tamaduni za kuwa kwenda shule ni elite privileged na sio muhimu kwa maendeleo ya Taifa!! Hadi hapo tutakapoamka katika hilo then ndio tunaweza kufikiriwa kupanda....wacha sisi tuuchape usingizi wa pono tu hivi sasa.
 
Jamaa ni lazima mtofautishe ranking na mashindano ya mbio. Hakuna tofauti kati ya 13, 18 au 22.
 
Last year UDSM was placed number 13 in world universities' ranking. This year it has droped to 18.

I think it is time now education stakeholders find answer to such situation.It is not a simple matter when a university drops five steps in just a year. What i know is that all universities are put on the same scale and same critera are used i.e academic, research and consultancy excellence.That being the case our question should be, where has UDSM gone wrong?

One area i do not hesitate to pinpoint to have contributed such an abrupt drop is academic.For some years now there have been complaints over graduates from UDSM. I am sure something is wrong somewhere. Maybe among lecturers or students admitted there or within our education system in general.

It is something that has to be discussed at a national level.

Learn more through the link below:

World Universities' ranking on the Web: Top Africa
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…