African Dictators meet in Addis Ababa

African Dictators meet in Addis Ababa

Yaani viongozi wetu wamepitisha azimio eti wawe na kinga ya kushitakiwa ICC wakati wakiwa madarakani.Kwahiyo yule anayedhania ni potential inductee hataachia madaraka kwa njia yoyote kama mugabe na m7.
Hivi hii si aibu kuazimia eti muuaji aendelee kupewa nafasi ya kuua zaidi huku dunia ikiangalia tu?
Kagame aliilaumu sana UN kwa kutochukua hatua kuzuia genocide kwa kuendekeza ile principle ya none interferance of internal affairs.ICC ni kiboko ya impunity na uongozi wa mkono wa chuma.
Africa hatuna mifumo huru ya kukabiliana na uonevu wa viongozi wetu.ICC ni mkombozi aliebakia japo ni mwiba mkali kwa madikteta.
 
Raia wa afrika kupitia ngos,cbos nk tuungane kupinga maazimio haya ya club ya madikteta
 
Naamini Rais wangu hakuunga azimio hili la ajabu kabisa
 
Mnatumiwa na mabeberu kuja hapa JF,mnafurahia Viongozi wenu kudhalilishwa na mfumo wa kikoloni? Blair na Bush wali ua maelufu ya watu hawakwenda hata ICC! Marekani haija saini hata mkataba wa Rome! Enyi waafrika wajinga mna ona kama jambo la kawaida viongozi wenu kudhalilishwa??? Mmelogwa na nani enyi kizazi masikini wa fikra na kutambua utu na thamani yenu????
CC CHUAKACHARA

una maanisha kiongozi wa kiafrika mwenye damu ya raia wake mikononi aisshtakiwe eti itaonekana amedhalilishwa? una akili timamu wewe?? kwa iyo thaman ya mwafrika ni kutoshtakiwa akifanya mauaji??
 
zipo mahakama za. nguvu ya wananchi wawaulize libya misri yemen na syria .huwezi mwaga damu bure eti wakusubiri umalize urais wako wakati huo marais wengine wanajifanya marais wa maisha.shame on u.
 
Kwanza haifai hata kuwaita viongozi. Yaani wamelewa na kuvimbiwa madaraka. Haiingii akilini kibaka wa Manzeze agome kushtakiwa kwa uhalifu wake eti kwa sababu tu kuna vibaka Mbagala na majambazi Tandale hawajashtakiwa. Hawa madikteta wamelaaniwa.
 
Watakwenda tu, ICC ni mahakama nzuri sana kwa viongozi wa afrika
 
KWELI KABISA, SIO TUU MADICTETA BALI MAJANGILI YA AFRICA. ULaya na marekani zilipopiga marufuku kutambua serikali za kijeshi africa haya amadicteta yalizipongeza sana nchi za Ulaya na marekani. lakini ilipofika mahala Ulaya na marekani walipoanza kushitaki maraisi wauwaji kama tyrol na wenzake, eti AU inaharakisha kikao cha dharula kutaka africa ijitoe!!1

Halafu kuna mama Nkhokosana Zhuma, ni moja ya wakina mama wazembe africa ambaye hajawahi kutokea. hata kuongea kwake ni kwa kizembe tuu. Yeyey pale kaja kupromoti yale mavazi ya kiafric,. Mikanga mingi mwili na kichwani kama Joyce Banda.

hawa madicteta ya africa yanalalamika kuwa eti ICC inalenga africa na sio Ulaya! hivi kweli hawa madicteta yalisoma historia mashuleni? mahakama ya the hague imelenga wazungu kuliko waafrica kama kina IDD amin na wenzake . Raisi wa astria DR Kurt waldheim, mpaka leo hatembei kokote kwa sababu na kesi ya Kuuwa wayahudi mwaka 1945. Slobodan Milosevic raisi wa yugoslavia, kafia Lumande kwa kesi ya kuwauwa wasilamu wa Bosnia na sarajevo. Askari wote wa nazi wameshitakiwa mahakama ya dunia na kuchukua kifungo cha maisha.

sisi wananchi wa africa tulifikia mahala tukaanza kulalamika kuwa, mahakama ya hague haitaki kuwashitaki maraisi wahalifu wa africa. sasa wametuskia kilio chetu, Ghafla madicteta ya africa, yanalalamika eti tunaonewa na ICC, kwa sababu ya rangi ya ngozi.

haya maraisi ya africa, yam,ezoea kutawala katiba zisizo wapeleka mahakamani, hivyo wao kuona ICC inashikisha adabu, wako tayari kuitosa kuliko iwakalie vichwani. mungu yuko nasi mpaka kielewe!


AU ilaaniwe milele!
Eti hao wataileta maendeleo Africa. Wanakubaliana na aliyoyafanya Bashir wa Sudan-mass killings, Ya Kenyeta etc.
 
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?

Hatuangalii unatokea wapi kazi ya mahakama inaangalia je wewe ni mkosaji au lah... walioumia au kupoteza uhai kwa ajili ya hao viongozi wapate madaraka ni wengi so haki ndio inatizamwa na sio umetokea wapi cha muhimu upo duniani.... hii ni kwa wanachama wa hiyo mahakama
 
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?

Hebu ongea kwa mfano, ni kiongozi yupi wa Afrika aliyefikishwa ICC kiuonevu. Haki gani unayotaka wewe? Bila kitu cha kuwatia hofu watawala wa kiafrika, watajimilikisha mpaka watu wao wenyewe. ICC ni kam deterrence.
 
Kwa hyo mkuu viongozi kama Charles Taylor, Jean Piere Bemba,Omari Albashiri na wapuuzi wengne wanaonewa? Hivi mbona huwa hawakutani kukomesha uasi DRC,UGANDA na kwingneko? Washenzi tu hawa.AFU WAMEWAHONGA WASOMI NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI KUTUPUMBAZA ili tuone kweli wanaonewa
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
 
Mnatumiwa na mabeberu kuja hapa JF,mnafurahia Viongozi wenu kudhalilishwa na mfumo wa kikoloni? Blair na Bush wali ua maelufu ya watu hawakwenda hata ICC! Marekani haija saini hata mkataba wa Rome! Enyi waafrika wajinga mna ona kama jambo la kawaida viongozi wenu kudhalilishwa??? Mmelogwa na nani enyi kizazi masikini wa fikra na kutambua utu na thamani yenu????
CC CHUAKACHARA
Una habari kuwa viongozi wa sasa wa Africa hawana huruma na mapenzi kwa nchi na raia zao?ndio maana wananchi wa nchi za africa hatuoni vibaya ,aibu,huruma,wala fedheha viongozi wetu hawa "wakionewa"
,
 
logo_new.png






[h=1]By BERNARD NAMUNANE | Monday, October 14 2013 at 07:59[/h]
ICC.jpg



African leaders at the African Union summit that last weekend deliberated on its ties with the International Criminal Court. FILE
A clash between French-speaking and English-speaking African countries sunk a move to withdraw Africa from the International Criminal Court in Addis Ababa at the weekend.

A combination of factors — including a division between Anglophone and Francophone countries and endless conflicts in the continent — put paid to efforts by some countries to have the African Union announce its withdrawal from the International Criminal Court.


They instead issued five demands to the ICC and its guarantor, the United Nations Security Council, to meet and pave the way for new relations with the court on crimes against humanity and high level impunity.


They also warned that should their list of demands not be met by November 12, the date set for President Kenyatta’s trial at The Hague, they will convene another Special AU Summit to make far-reaching resolutions.


Sources at the AU executive council and the Heads of State meeting said that Kenya, Uganda, Rwanda, Ghana, South Africa, Zimbabwe, Sudan, Ethiopia, Nigeria, Malawi, Tanzania and Algeria pushed for the immediate declaration of the withdrawal from the Rome Statute. Algeria is a French-speaking nation and is not a member of the ICC.


Kenya’s delegation at the executive council meeting, led by Foreign Secretary Amina Mohamed and Attorney-General Githu Muigai was said to have reminded their colleagues that what ICC was doing to Kenya could be done to any African country in future.


Were aghast

This was the reason, they said, decisions should be taken to stop the ICC. They were aghast that the ICC had failed to respect elected African presidents and time had come for the continent to flex its muscle by renouncing its ICC membership.

It was said that they were disturbed by remarks made by the lead prosecutor in the Ruto case, Mr Anton Styneberg, that Kenya could appoint someone else to play the Deputy President’s role to allow the substantive holder of the position to be tried without interruption.


The remark, they said, bordered on lack of respect for elected African leaders.


However, Francophone countries were opposed to the proposal for mass withdrawal, saying, the AU should pursue their concerns with the UN Security Council and the State Parties forum.


Senegal, Côte d’Ivoire, the Gambia, Mali and Burkina Faso were unhappy with the slow pace at which the AU has been moving to resolve conflicts in Africa.


Joined by Botswana, they argued that while they were in agreement that the ICC should not prosecute sitting presidents, Africa — which has a long list of conflicts — should not be seen to be taking a move that will create room for such dark acts. They cited civil war in Eastern Congo, the Boko Haram conflict in Nigeria and events in Mali where the AU failed to act on time.


The Francophone countries were further opposed to the proposal that all AU members who wish to invite the ICC to investigate cases in their countries should first consult the union. This, Senegal and Côte d’Ivoire argued, would deny countries their right to solve internal problems.


Strongly reflected

It was also understood that Côte d’Ivoire and Sudan, which have cases at the ICC, wanted their position in the final statement from the Special AU Summit to be strongly reflected as was Kenya’s. Their delegations argued that while the Kenya case was urgent, their own situations also merited being included higher up in the resolutions.

Perhaps, this was the reason AU chairman Hailemariam Dessalegn, also Ethiopia’s Prime Minister, said in his opening remarks: “It should be underscored that our goal is not and should not be a crusade against the ICC, but a solemn call for the organisation to take Africa’s concerns seriously.”


The Special Summit apparently had attracted the attention of the UN and the ICC.


Sources at yesterday’s meeting said UN Secretary-General Ban Ki-moon called each of the presidents in attendance, seeking to persuade them against resolving to withdraw from the ICC.


Mr Ban promised to use his position to amend the Rome Statute charter to bring on board the concerns that were being raised by the continent.


It is understood that President Robert Mugabe of Zimbabwe, a strong supporter of severing links with The Hague, reminded the UN boss that he has “no teeth” to push for the amendments.


CONSIDERING DEFERMENT

AU Commission chairperson Nkosazana Dlamini-Zumba, in her welcoming remarks, said:

“I met ICC prosecutor Fatou Bensouda early in the week and expressed to her the concern that the UN Security Council and the ICC should work with us to enable the elected leadership of Kenya to fulfil their constitutional obligations by urgently considering deferment of the ICC proceedings against the President and Vice-President of Kenya in accordance with Article 16 of the Rome Statute.”

 
viongozi wa Afria wanatumia kivuli cha AU kulinda uovu wao.
sio siri uchaguzi wa Kenya wa 2007 - 2008 takribani ya watu 1500 waliuawa na 250,000 waliishia kuwa "wakimbizi" ndani ya nchi yao . uchunguzi ulianza wakati huo huo, Kenyatta na Ruto wakawa main suspects...wakati huo Mwai Kibaki alikua Raisi wa Kenya......sasa haya malalamiko kwamba ICC ina washugulikia viongozi wa Africa yametoka wapi? haya mashitaka yalianza wakati Mwai Kibaki raisi.

MFANO: Lowassa/Slaa akiamua kusababisha mauaji nchi nzima, ili kuharibu mazingira ya kisiasa kwa ajili ya wapinzani wake wa kisiasa ndani na nje ya nchi....ana uhakika kuto guswa.....kwasababu
1) katiba ya nchi inazuia rais kushtakiwa
2) AU haitakubali ICC imguse Lowassa/Slaa (kiongozi wa nchi) hata kama kuna ushahidi wakutosha......

hapa inadhiirisha AU na viongozi wa mataifa ya Africa hayapo hapa kutetea wa Africa bali viongozi wenzao.....na ICC ndio inaweza ikawa tegemezi la mwisho la waAfrica dhidi ya viongozi waliotayari kusababisha mauaji kwa wananchi wao kufanikisha malengo yao....

kwanini AU hisisubiri kuona ushahidi na hukumu ya mwisho ndio ianze kulalamika kwamba viongozi wake wanonewa? wanachofanya sasa...hamna tofauti na kukubali kosa ....sasa wanatafuta vigezo vyengine kufutiwa kesi......

AU.... watendeeeni haki wakenya 1500 waliouwawa 2007-2008. mta-challenge maamuzi ya mahakama, kuna wataalamu wa sheria watachambua hukumu na ushahidi ....baada ya hapo tukijitoa tutaheshimika zaidi.....
 
Caucas ya wauaji ma wanafiki ilishindwa.Hata UNSC ina changamoto mbona hawajitoi?Nilisema viongozi wa Africa hawachukulii jambo serious unless limewagusa personally
 
Why African leaders failed to strike deal on ICC pullout in Addis Ababa.

566845-01-02.jpg

Kenyan President Uhuru Kenyatta (L) speaks with Cabinet secretary for Foreign Affairs Amina Mohammed (R), and Attorney General Githu Mungai (2-R) at the African Union ahead of a special summit on the continent's relationship with the International Criminal Court (ICC) on October 12, 2013. Photo/AFP

[h=3]In Summary[/h]
  • French-speaking nations are keen to fight impunity and end violent conflicts on continent
  • Francophone countries and Botswana apply brakes on moves to divorce continent from world court over Kenya

A clash between French-speaking and English-speaking African countries sunk a move to withdraw Africa from the International Criminal Court in Addis Ababa at the weekend.


A combination of factors — including a division between Anglophone and Francophone countries and endless conflicts in the continent — put paid to efforts by some countries to have the African Union announce its withdrawal from the International Criminal Court.


They instead issued five demands to the ICC and its guarantor, the United Nations Security Council, to meet and pave the way for new relations with the court on crimes against humanity and high level impunity.


They also warned that should their list of demands not be met by November 12, the date set for President Kenyatta’s trial at The Hague, they will convene another Special AU Summit to make far-reaching resolutions. (VIDEO: Uhuru urged to skip ICC trial)


Sources at the AU executive council and the Heads of State meeting said that Kenya, Uganda, Rwanda, Ghana, South Africa, Zimbabwe, Sudan, Ethiopia, Nigeria, Malawi, Tanzania and Algeria pushed for the immediate declaration of the withdrawal from the Rome Statute. Algeria is a French-speaking nation and is not a member of the ICC.


Kenya’s delegation at the executive council meeting, led by Foreign Secretary Amina Mohamed and Attorney-General Githu Muigai was said to have reminded their colleagues that what ICC was doing to Kenya could be done to any African country in future.


This was the reason, they said, decisions should be taken to stop the ICC. They were aghast that the ICC had failed to respect elected African presidents and time had come for the continent to flex its muscle by renouncing its ICC membership.


It was said that they were disturbed by remarks made by the lead prosecutor in the Ruto case, Mr Anton Styneberg, that Kenya could appoint someone else to play the Deputy President’s role to allow the substantive holder of the position to be tried without interruption.

The remark, they said, bordered on lack of respect for elected African leaders.


However, Francophone countries were opposed to the proposal for mass withdrawal, saying, the AU should pursue their concerns with the UN Security Council and the State Parties forum.


Senegal, Côte d’Ivoire, the Gambia, Mali and Burkina Faso were unhappy with the slow pace at which the AU has been moving to resolve conflicts in Africa.


Joined by Botswana, they argued that while they were in agreement that the ICC should not prosecute sitting presidents, Africa — which has a long list of conflicts — should not be seen to be taking a move that will create room for such dark acts. They cited civil war in Eastern Congo, the Boko Haram conflict in Nigeria and events in Mali where the AU failed to act on time.


The Francophone countries were further opposed to the proposal that all AU members who wish to invite the ICC to investigate cases in their countries should first consult the union. This, Senegal and Côte d’Ivoire argued, would deny countries their right to solve internal problems.


It was also understood that Côte d’Ivoire and Sudan, which have cases at the ICC, wanted their position in the final statement from the Special AU Summit to be strongly reflected as was Kenya’s. Their delegations argued that while the Kenya case was urgent, their own situations also merited being included higher up in the resolutions.


Perhaps, this was the reason AU chairman Hailemariam Dessalegn, also Ethiopia’s Prime Minister, said in his opening remarks: “It should be underscored that our goal is not and should not be a crusade against the ICC, but a solemn call for the organisation to take Africa’s concerns seriously.”


The Special Summit apparently had attracted the attention of the UN and the ICC.


Sources at yesterday’s meeting said UN Secretary-General Ban Ki-moon called each of the presidents in attendance, seeking to persuade them against resolving to withdraw from the ICC.


Mr Ban promised to use his position to amend the Rome Statute charter to bring on board the concerns that were being raised by the continent.

It is understood that President Robert Mugabe of Zimbabwe, a strong supporter of severing links with The Hague, reminded the UN boss that he has “no teeth” to push for the amendments.


CONSIDERING DEFERMENT


AU Commission chairperson Nkosazana Dlamini-Zumba, in her welcoming remarks, said:


“I met ICC prosecutor Fatou Bensouda early in the week and expressed to her the concern that the UN Security Council and the ICC should work with us to enable the elected leadership of Kenya to fulfil their constitutional obligations by urgently considering deferment of the ICC proceedings against the President and Vice-President of Kenya in accordance with Article 16 of the Rome Statute.”

Why Africa leaders failed to strike deal on ICC in Ethiopia - Politics - nation.co.ke
 
Back
Top Bottom