African Dictators meet in Addis Ababa

African Dictators meet in Addis Ababa


Kweli sisi waafrika rahisi kusahau, si juzi juzi tu kaka KAGAME alitishia kutushambulia? sasa na tunavyomsikiliza UHURU KENYATTA na kujitoa ICC ina Maana UN haitahusika MAPAMBANO ya kivita yakianza kati yetu na RWANDA

Na sijui HISTORIA GANI tunafundishwa Madarasani au RAIS wa NCHI kafuta somo la HISTORIA kama ZANZIBAR; Wakati wa Vita ya UGANDA na TANZANIA AU then OAU iligoma kuwa Msuluhishi

Kwahiyo tutauana Mpaka tuchoke kunuka DAMU... Na Unatujua sisi WAAFRIKA we don't know how to govern ourselves
 
Lakini hoja ya AU ni kwamba marais/mawaziri wakuu walioko madarakani wasishitakiwe hadi wamalize muda wao na sio kujitoa jumla.
 
Lakini hoja ya AU ni kwamba marais/mawaziri wakuu walioko madarakani wasishitakiwe hadi wamalize muda wao na sio kujitoa jumla.

Hadi wamalize muda wao?
Some leaders count themselves as presidents for life!
 
Sioni haja ya viongozi wa Africa kuikataa mahakama ya ICC,mahakama ni chombo kinachotenda haki na kinaongozwa na sheria zake,,,sasa iweje baadhi ya viongozi wa Africa kua na hofu na mahakama hiyo.
kama upo upande wa haki na umetenda yaliyo mema kwa wananchi wako wako,sioni haja ya kuigopa mahakama hiyo.
kwa kusema mahka ile ipo kwa ajili ya kuwaumiza viongozi wa Africa ,naona kama wanakosea ,kwani viongozi wengi tu wa mataifa wengine wameshawahi kuhukumiwa na ICC.

Kwa mtazamo wangu naona viongozi wanaoikataa mahakama hii ni kwa wale wanaojiona ni wachafu na wametenda mambo yasiyo na ubiinadamu kwa wananchi wake ,na ndio maana wanajaribu kuikimba mapema mahakama hii.(angalia wanopiga kelele kwa hili)
Pia nazidi kujiriidhishia ujinga wa viongozi wengi wa AFRICA kushindwa kufanya long plann analysis kabla ya kuingia kwnye mikataba ya kimataifa.

Sijaona uamuzi sahihi kutoka kutoka kwa baadhi ya viongozi hao, kama kweli wapo kwa ajilii ya kuongoza kwa haki na kwa maslai ya taifa ,sioni haj y kuigopa mahakama hiyo.:A S-confused1:
 
Apart from Botswana, all other cronies calling themselves African leaders are common criminals (killers of their own people).For this they should be afraid of ICC. Now they are hiding behind color. What a shame !!! New racists in the making.
 
Badala ya hawa dictators kukutana kujadili wimbi la vijana wao kutoka Africas kwenda Ulaya na kufia majini- Lampedusa etc.... Wanakutana at the expense of tax payers money kujadili how to consolidate their power by suppressing people not to air their views, killing democracy, oppression and the like! Wanataka wanapokuwa wanagombea madaraka waue, bila kuhpjiwa kama walivyofanya Kenyata na Rutto! Shame up on you!
Mbona Uko shallow Minded Hivi? Nilidhani Tanzanians wako proud kuwa Africans hasa baada yakufunzwa na Mwalimu Nyerere ambaye sisi sote tuna muheshimu.Fisrt what do you mean by dictators? Are they not leaders voted by people in their countries? au you are so inferior to think that African elections are no better that Wanzungus?Wacha kuongea kama wale NGO activists wale wangojea pesa ya wazungu ili "kuendelesha demokrasi Africa" Before you talk much get the facts of this case.Leo ni Kenya Kesho Rebels watainuka Tanzania and ICC will threaten the president if he deals with "peaceful demonstrators".Each country has unique problems that ICC does not want to take to account e.g Tanzania kuna wale wachochezi wa Zanzibar and the goverment cannot deal with them because of Human Rights! Do you want us to take that direction.I am very proud of our African Presidents on this!
 
Mbona Uko shallow Minded Hivi? Nilidhani Tanzanians wako proud kuwa Africans hasa baada yakufunzwa na Mwalimu Nyerere ambaye sisi sote tuna muheshimu.Fisrt what do you mean by dictators? Are they not leaders voted by people in their countries? au you are so inferior to think that African elections are no better that Wanzungus?Wacha kuongea kama wale NGO activists wale wangojea pesa ya wazungu ili "kuendelesha demokrasi Africa" Before you talk much get the facts of this case.Leo ni Kenya Kesho Rebels watainuka Tanzania and ICC will threaten the president if he deals with "peaceful demonstrators".Each country has unique problems that ICC does not want to take to account e.g Tanzania kuna wale wachochezi wa Zanzibar and the goverment cannot deal with them because of Human Rights! Do you want us to take that direction.I am very proud of our African Presidents on this!

Nitakujibu baaaye mpuuzi wewe! Angalia comments za wenzako utajiona kuwa you are an outlier! Unanijibu by character assassination what do you mean by shallow minded you stupid burger!
 
Back
Top Bottom