Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
maraisi wa nchi gan wapo huko?
nchi maskin za kiafrika,
maraisi wa nchi gan wapo huko?
Badala ya hawa dictators kukutana kujadili wimbi la vijana wao kutoka Africas kwenda Ulaya na kufia majini- Lampedusa etc.... Wanakutana at the expense of tax payers money kujadili how to consolidate their power by suppressing people not to air their views, killing democracy, oppression and the like! Wanataka wanapokuwa wanagombea madaraka waue, bila kuhpjiwa kama walivyofanya Kenyata na Rutto! Shame up on you!
KWELI KABISA, SIO TUU MADICTETA BALI MAJANGILI YA AFRICA. ULaya na marekani zilipopiga marufuku kutambua serikali za kijeshi africa haya amadicteta yalizipongeza sana nchi za Ulaya na marekani. lakini ilipofika mahala Ulaya na marekani walipoanza kushitaki maraisi wauwaji kama tyrol na wenzake, eti AU inaharakisha kikao cha dharula kutaka africa ijitoe!!1Badala ya hawa dictators kukutana kujadili wimbi la vijana wao kutoka Africas kwenda Ulaya na kufia majini- Lampedusa etc.... Wanakutana at the expense of tax payers money kujadili how to consolidate their power by suppressing people not to air their views, killing democracy, oppression and the like! Wanataka wanapokuwa wanagombea madaraka waue, bila kuhpjiwa kama walivyofanya Kenyata na Rutto! Shame up on you!
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
Mkuu nakuunga mkono sana! Ingawa uwepo wa hii mahakama ya ICC itasaidia kuwazuia viongozi kutumia madaraka yao vibaya wawapo madarakani lakini tumeshuhudia mahakama hii ikiwashughulikia viongozi pekee wa nchi za Afrika! Mbona Bush hajashtakiwa? Blair na Sarkozy? Kwa vitendo vyao vya kuvamia Iraq kwa kisingizio cha matumizi ya kemikali lakin baadae wakamuua Sadam ikafahamika baaadae kuwa hapakuwepo na chemical weapons! Wameua raia wengi sana wasio na hatia! Kwanini hawa hawafikishwi kule ICC? Kwanini Kenyatta, Rutto, Albashir, Laurent Bagbo na yule wa Liberia?
Mimi siwatetei hao viongozi wasishitakiwe kwa makosa waliotenda but kwann Afrika tu? Mimi ningetegemea viongozi wa AU, wangeshinikiza usawa na haki itendeke kwa nchi zote vinginevyo ni sawa wakijitoa!
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
Wapi haijatenda haki kwa Afrika? toa mifano? waliohukumiwa kina Charles Taylor hawakufanya makosa.Jamani,Issue hapa ni viongozi wa kiafrika kujiepusha na uvunjaji wa haki za binadamu,hawatapelekwa ICC
Na dikteta mwingine wa chama na mchumba wake anarandaranda Marekani badala ya kutoa rambi rambi Lampedussa.Badala ya hawa dictators kukutana kujadili wimbi la vijana wao kutoka Africas kwenda Ulaya na kufia majini- Lampedusa etc.... Wanakutana at the expense of tax payers money kujadili how to consolidate their power by suppressing people not to air their views, killing democracy, oppression and the like! Wanataka wanapokuwa wanagombea madaraka waue, bila kuhpjiwa kama walivyofanya Kenyata na Rutto! Shame up on you!
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
ben unakosea sana..tafakari upya kauli yako! mahakama ya icc haitendi haki kwa afrika.ifike mahala tutangulize uafrika wetu.ina maana madikteta wapo africa tu?
Viongozi wa Africa wanajitetea kupitia Iraq na afganistan. Je, Viongozi wa marekani,Russia na kwingineko wanaingia madarakani kwa lazima na kuuwa watu wao? Hili ni swala dogo tu, Sera za nchi Fulani kuvamia nchi nyingine si udictator wa madaraka ila ni uhusiano na sera za nchi ile. Kwa hiyo kama hao walivamia nchi nyingine,waangalie vipengele vinavyoongoza mahakama hiyo,je hilo lipo? Viongozi wengi wa Africa,wanatumia vyeo vyao na vyama tawala kujichulia madaka kwa lazima,hakuna democracy. Njia pekee wajisafishe,waache wizi wa kura na wakae madakani kwa matakwa ya wananchi wao,tuone kama watashtakiwa. Mimi siwaungi mkono. Kenyatta na Ruto ni wauwaji na hata ushindi wake una mashaka makubwa