Afisa Elimu Mkoa wa Songwe na Afisa Elimu Wilaya waache kujifanya Miungu watu

Huku lushoto Kuna afisa elimu secondary anaongea utumbo tupu yaani mpaka unajiuliza kapataje hicho cheo. Anaitwa Ebenezer . Hataki watu wahame juzi kamtukana dada ofisini akifuatilia uhamisho wake. Alianzisha gruop la wasap la walimu . Kituko akiweka mada watu wakichallange analifunga gruop.
 
Kaponda kumbe yupo Songwe. Kati ya maofisa bogus TAMISEMI huyu ni miongoni mwao. Nadhani amezaliwa akiwa na roho mbaya tu

Alikua Mkurugenzi pale TAMISEMI Hq na aliboronga akatupwa Kigoma akajifunze kufanya kazi na watu. Kumbe hajabadilika
Huyu juma kaponda ni sifuri bin ziro alikuwa mwalimu wa shule ya msingi huko ileje akatumia ndumba nyingi hadi kuwa REO wakati wa mkoa wa mbeya alikuwa akiwakata waalimu makofi na viboko mbele ya wanafunzi,alikuwa akimwogopa mkuu wa shule ya tukuyu day tu.
Sitosahau siku alipotufukuza mwakaleli sekondari huko rungwe tukiwa hatuna kosa lolote wakishirikiana na mwalimu mkuu Edward mwantimwa na second master heriko sanga,tukaandikiwa turudi barua tuje na wazazi imagine wazazi wote kwa pamoja na watoto walimgomea kaponda alipotuma wawakilishi kwani hatukuwa na kosa lolote wazazi wakarudi na watoto wao ndipo ikaja divide and rule kupitia kaponda wengine tulirudishwa kwa masharti magumu,wengine walifukuzwa,wengine walikuja kufanya mitihani tu.
Aisee kwa kifupi kidato cha tano na cha sita tulisoma siku zisizozidi 40 huku walimu wakiwa wa kujitolea tu napart time mwaka ule tulifaulu vizuri sana dv 1 44 div11 88 div 111 chache sana
 
Huyu juma kaponda ni sifuri bin ziro alikuwa mwalimu wa shule ya msingi huko ileje akatumia ndumba nyingi hadi kuwa REO wakati wa mkoa wa mbeya alikuwa akiwakata waalimu makofi na viboko mbele ya wanafunzi,alikuwa akimwogopa mkuu wa shule ya tukuyu day tu.
Sitosahau siku alipotufukuza mwakaleli sekondari huko rungwe tukiwa hatuna kosa lolote wakishirikiana na mwalimu mkuu Edward mwantimwa na second master heriko sanga,tukaandikiwa turudi barua tuje na wazazi imagine wazazi wote kwa pamoja na watoto walimgomea kaponda alipotuma wawakilishi kwani hatukuwa na kosa lolote wazazi wakarudi na watoto wao ndipo ikaja divide and rule kupitia kaponda wengine tulirudishwa kwa masharti magumu,wengine walifukuzwa,wengine walikuja kufanya mitihani tu.
Aisee kwa kifupi kidato cha tano na cha sita tulisoma siku zisizozidi 40 huku walimu wakiwa wa kujitolea tu napart time mwaka ule tulifaulu vizuri sana dv 1 44 div11 88 div 111 chache sana
Asante kwa taarifa juu ya huyu mwl Kaponda. Waweza kutupa historia zaidi ya huyu MTU? Inaonekani ni tatizo karibia kila eneo alilopita.
 
Huyu jamaaa alihamishiwa tamisemi kama mdau anavyosema lakini alipofia tamisemi tuuu akapandisha mademu zake na kuwapa vyeo nijamaaa hopoeless sana lakini hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji. Amempa hawala yake aaliezaaa nao watoto wa2 afisa elimu wilaya taaluma na anampgia chapuo ndio ashike nafasi yake pindi atakapostaaafu.
Pia alipokuwa tamisemi alianzisha kitengo ndani ya kitengo cha upendeleo kwa watu wake kuwapa kipaumbele ikabidi wamtupe kigoma na kunawizi alifanya pale kama anavyojidai yeye ni untochable. Ummy shughulika na huyu anaesumbua watumishi
 
Huku lushoto Kuna afisa elimu secondary anaongea utumbo tupu yaani mpaka unajiuliza kapataje hicho cheo. Anaitwa Ebenezer . Hataki watu wahame juzi kamtukana dada ofisini akifuatilia uhamisho wake. Alianzisha gruop la wasap la walimu . Kituko akiweka mada watu wakichallange analifunga gruop.
Ukiwa kiongozi kibongo bongo we ndo una akili sana
 
Huyu juma kaponda ni sifuri bin ziro alikuwa mwalimu wa shule ya msingi huko ileje akatumia ndumba nyingi hadi kuwa REO wakati wa mkoa wa mbeya alikuwa akiwakata waalimu makofi na viboko mbele ya wanafunzi,alikuwa akimwogopa mkuu wa shule ya tukuyu day tu.
Sitosahau siku alipotufukuza mwakaleli sekondari huko rungwe tukiwa hatuna kosa lolote wakishirikiana na mwalimu mkuu Edward mwantimwa na second master heriko sanga,tukaandikiwa turudi barua tuje na wazazi imagine wazazi wote kwa pamoja na watoto walimgomea kaponda alipotuma wawakilishi kwani hatukuwa na kosa lolote wazazi wakarudi na watoto wao ndipo ikaja divide and rule kupitia kaponda wengine tulirudishwa kwa masharti magumu,wengine walifukuzwa,wengine walikuja kufanya mitihani tu.
Aisee kwa kifupi kidato cha tano na cha sita tulisoma siku zisizozidi 40 huku walimu wakiwa wa kujitolea tu napart time mwaka ule tulifaulu vizuri sana dv 1 44 div11 88 div 111 chache sana
Nimemaliza mwakaleli advance hiyo ishu naikumbuka Sana ,Katika mahead master vilaza kuwahi tokea Basi alikuwa ni Huyo Mwantimwa mtu wa Matamba huko, alitokea Loleza shule ya wasichana akiwa Kama second master ,,Huyo kaponda ndio hovyo kabisa had unajiuliza wanapateje vyeo hao madingi?.

Ila pia hakuna kada yenye majungu Kama kada ya walimu ,kwanza mbaya wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe ,yaan walimu ni wanoko balaa ni watu wa kujipendekeza Sana ili wapate huto tudeal twa kusimamia mitihan na kumark ,ambato hutokea Mara moja kwa mwaka .

Hii kada hovyo Sana ndio maana hata viongoz wanawanyanyasa Sana maana washajua hakuna umoja huko full kuchomana wao kwa wao
 
Nimemaliza mwakaleli advance hiyo ishu naikumbuka Sana ,Katika mahead master vilaza kuwahi tokea Basi alikuwa ni Huyo Mwantimwa mtu wa Matamba huko, alitokea Loleza shule ya wasichana akiwa Kama second master ,,Huyo kaponda ndio hovyo kabisa had unajiuliza wanapateje vyeo hao madingi?.

Ila pia hakuna kada yenye majungu Kama kada ya walimu ,kwanza mbaya wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe ,yaan walimu ni wanoko balaa ni watu wa kujipendekeza Sana ili wapate huto tudeal twa kusimamia mitihan na kumark ,ambato hutokea Mara moja kwa mwaka .

Hii kada hovyo Sana ndio maana hata viongoz wanawanyanyasa Sana maana washajua hakuna umoja huko full kuchomana wao kwa wao
Akikubaini umekwisha
 
Nasikia wilaya ya Songwe kuna mkuu mmoja alikuwa anaachia sana watoto wakike watumike na waalimu mwisho wa siku afisaakamuhamisha kwenda shule nyingine na pale akamleta dada ake aje kuwa mkuu wa shule.
 
Nasikia wilaya ya Songwe kuna mkuu mmoja alikuwa anaachia sana watoto wakike watumike na waalimu mwisho wa siku afisaakamuhamisha kwenda shule nyingine na pale akamleta dada ake aje kuwa mkuu wa shule.
Kaponda amehamisha waalimu wakuuu wote katika halmashauri zote kutokana na madudu aliyoyafanya wakati wa kufanya mtihani wa drs la saba.
Bbange anahamisha waalimi wa sekondari halafu hawalipi kazi kuwafokea tuuuu
 
Walimu walio wengi ndo watumishi wasiojitambua, naongea nikiwa kama mwalimu pia,hawajitambui kivipi?

Walimu walio wengi maofisini ni majungu yasiyokuwa na tija topic zao ni namna gani watajipendeza na hatimae wateuliwe kuwa wasimizi wa mitihani, self actualization as a highest stage of development should be taught among teachers.
You said it all.
 
Back
Top Bottom