Rais wa Zambia, Rupiah Banda alikasirishwa na picha hizo na wakati akiongea na waandishi wa habari mwezi uliopita aliamuru mtu aliyezisambaza picha hizo akamatwe.
".
Angeweza kufikisha ujumbe wake kwa namna nyingine bila ya kutumia picha hizo. Hizo picha angeziweka kama exhibit pindi wakubwa wangetaka ushahidi. Moreover, there was no need sending a letter to VP while there are a lot of institutions under him that deals with day 2 day fracases.
But, she has no case to answer.