AFCON Group C: Uganda vs Tanzania, Desemba 27, 2025

AFCON Group C: Uganda vs Tanzania, Desemba 27, 2025

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ipo uwanjani ikikipiga na Uganda katika mchezo wa Kombe la Afrika (AFCON) hadi mapumziko mchezo huo hakuna mbabe.

Matokeo bado ni 0-0.

Vijana wetu wanaendelea kupambania kombe la Ubingwa barani Africa.

Kila la kheri kwao

tf.jpeg
 
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
 
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ipo uwanjani ikikipiga na Uganda katika mchezo wa Kombe la Afrika (AFCON) hadi mapumziko mchezo huo hakuna mbabe. Matokeo bado ni 0-0.

tf.jpeg
 
samatta akimbize sasa na sio kurudi kukaba
 
Back
Top Bottom