AFCON Group C: Uganda vs Tanzania, Desemba 27, 2025

AFCON Group C: Uganda vs Tanzania, Desemba 27, 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ipo uwanjani ikikipiga na Uganda katika mchezo wa Kombe la Afrika (AFCON) hadi mapumziko mchezo huo hakuna mbabe.

Matokeo bado ni 0-0.

Vijana wetu wanaendelea kupambania kombe la Ubingwa barani Africa.

Kila la kheri kwao

View attachment 3521580
Funga mbwa wa ccm hao GENTAMYCINE
 
Mbuzi wa maskini hazai! Kwangu Uganda,ikiongozwa na Vijana wa U-17 akina Bokero imeonyesha mchezo standard kuliko wa timu yetu!
 
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ipo uwanjani ikikipiga na Uganda katika mchezo wa Kombe la Afrika (AFCON) hadi mapumziko mchezo huo hakuna mbabe.

Matokeo bado ni 0-0.

Vijana wetu wanaendelea kupambania kombe la Ubingwa barani Africa.

Kila la kheri kwao

View attachment 3521580
Alhamdulilahi tumetoka sare,leo jamaa wangetukana nchi sana
 
A house divided against itself cannot stand. Tulipofika Mkono wa Mungu tu ndio utatuokoa.
 
Back
Top Bottom