Mkuu Bulldog, kwani JK alipopewa Phd ya heshima ya Afya ni nini alichokifanya kwenye sekta ya Afya mpaka astahili hilo? Si sawa tu na hili la kufaulishwa bila kufanya mtihani?? Only in Tanzania!
Huyo hajafaulu...kafaulishwa...Lol.. Big Results Now tutaona mengi
Huenda majina yamefanana. Tusubiri tuone!
Mzazi akomae huyo mtoto aende sekondari,dogo amepata bahati ya mtende huyo.waanze kujiandaa kwa yunifom na madaftari sasa wasikubali kushindwa.
hahahaha rais yupo bize kuwachomoa washikwa na madawa ya kulevya
Mkuu Bulldog, kwani JK alipopewa Phd ya heshima ya Afya ni nini alichokifanya kwenye sekta ya Afya mpaka astahili hilo? Si sawa tu na hili la kufaulishwa bila kufanya mtihani?? Only in Tanzania!
Ada ipi?