MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Only In Tanzania,Matokeo Makubwa Sasa,Wanatanua magoli wapate kufunga(By Meena)
Huku ni kutaka kuvuna bila kupanda
Only In Tanzania,Matokeo Makubwa Sasa,Wanatanua magoli wapate kufunga(By Meena)
This problem is becoming normal in Tanzania. So no need to wonder on that mkuu.Leo ktk kipindi cha tuongee magazetini asbh kinachorushwa na radio free kimeeleza kuwa kijana mmoja adhangazwa baada ya kutangazwa na kuwemo ktk orodha ya wanafunzi waliofaulu ktk mtihani wa darasa la saba wakati hajafanya mtihani huo baada ya kusimamishwa shule kwa kushindwa kulipa ada,jamani kuna nini tz yetu??je tuamini kuwa ni kweli ufaulu umezidi mwaka huu au ndio geresha la kuwafurahisha wananchi??jiulize wangapi ambao hawajajitokeza ambao nao wamefaulu bila kufanya mtihani???? Tafakari chukuwa hatua...
Kwa hiyo walimu wa sekondari ndno wapelekewe makapi/vimeo!?mwisho wa siku ooh,walimu wa siku hizi hawafundishi,kumbe mwalimu anakomaa kufundisha mtu ambaye hajafikia kiwango cha kuingia sek.Polen sana walimu wa tz.
Leo ktk kipindi cha tuongee magazetini asbh kinachorushwa na radio free kimeeleza kuwa kijana mmoja adhangazwa baada ya kutangazwa na kuwemo ktk orodha ya wanafunzi waliofaulu ktk mtihani wa darasa la saba wakati hajafanya mtihani huo baada ya kusimamishwa shule kwa kushindwa kulipa ada,jamani kuna nini tz yetu??je tuamini kuwa ni kweli ufaulu umezidi mwaka huu au ndio geresha la kuwafurahisha wananchi??jiulize wangapi ambao hawajajitokeza ambao nao wamefaulu bila kufanya mtihani???? Tafakari chukuwa hatua...
Kwa hiyo walimu wa sekondari ndno wapelekewe makapi/vimeo!?mwisho wa siku ooh,walimu wa siku hizi hawafundishi,kumbe mwalimu anakomaa kufundisha mtu ambaye hajafikia kiwango cha kuingia sek.Polen sana walimu wa tz.
Hapo ndo sheria ichukue mkondo wake,kuliko dogo aliyefaulishwa kwenda kuwachosha walimu wetu wa tz.Dogo kaokota fuko la hela hilo,ukimpokonya atakubali?basi alipwe hela ya usumbufu.kwanini aambiwe kafaulu wakati hajafanya mtihani?HAIKUBALIKI aise!kuna mtu amenunua jina lake hapo.ALIPWE
Hakuna Kitu mbaya km kuifanyia elimu maigizo....kama Serikali hii ya ccm inavyofanya. Taifa
linalocheza na elimu ni taifa linalojiandalia kifo na kutawaliwa milele ktk nyanja zote
Ndio ni muhimu,lakini kwa utaratibu fulani,basi kungekua hakuna haja ya kuwa na mitihani,lazima mtu/mwanafunzi aitafute kwa nguvu zake zote,juhudi zake zote,na akili zake zote,ili elimu yetu iweze kurudishiwa heshima yake ya awali.Mungu ibariki Tanzania.elimu ya sekondari ni muhimu kwa kila mTanzania hata akipata divisheni faivu ajisifie na yeye alipata elimu ya sekondari ya miaka minne..