Guyana Halima
Member
- Feb 23, 2009
- 78
- 1
Jamani huyu kaisha ambiwa demu mgonjwa , akapime nini tena?Sikio la kufa hilo.....
Mtu hapimwi na maneno ya watu!! aende hospitali kupata uhakika wa afya yake na huyo dada ili awe makini!!! Ngoma haiambukizwi kwa sex peke ake anaweza kutumia condom akaja kupata kwenye kiwembe watakachokatia kucha wote!!! Na anaweza kuzani huyo dada kaathirika kumbe aliathirika ni yeye!!! Kupima ni bora na heri zaidi kwa wote wawili!!!