chukulia uko chumbani na mwanamke, mwataka fanya mapenzi (au ngono-call it whatever you want) kisha akakuambia, nimeathirika!!!!!!. Unaweza kuendelea?
utakalo fikiria ndilo la kumpa huyo jamaa yako.
Jibu langu ni hili, ikiwa jamaa yako hajaathirika, aachane na huyo mwanamke, PERIOD!!!!!. But ikiwa naye ni mwathirika, he should seek counselling kwanza.
And he is very funny ameanza kazi na kupenda hapo hapo ofisini? Anajua risks za mapenzi na workmate? na akiacha hapo akaanza kazi sehemu nyingine.....nako atapenda mwingine?