Kama hao hapo juu hawana makosa kwa kuchoma kitambaa (bendera), huyu hapa chini ana kosa gani kuchoma karatasi (Quran?)
![]()
Huyu Mpumbavu alitaka Apate Umaarufu Kuichoma Quran kama yule Mzungu aliye Mchora Kikatuni Mtume Muhammad Swala llahu alaye Wasalaam si alikuwa anataka apate Umaarufu tu. Na kama Rais wa zamani wa Marekani Bush Kuivamia IRAQ na kumuuwa Saadam hussein si alitaka apate Umaarufu Duniani?Kama hao hapo juu hawana makosa kwa kuchoma kitambaa (bendera), huyu hapa chini ana kosa gani kuchoma karatasi (Quran?)
![]()
Huyu Mpumbavu alitaka Apate Umaarufu Kuichoma Quran kama yule Mzungu aliye Mchora Kikatuni Mtume Muhammad Swala llahu alaye Wasalaam si alikuwa anataka apate Umaarufu tu. Na kama Rais wa zamani wa Marekani Bush Kuivamia IRAQ na kumuuwa Saadam hussein si alitaka apate Umaarufu Duniani?
Kama wewe Buchanan uınavyo Kopi hizo Picha na Ku Paste humu ndani si unataka kupata umaarufu ndani Jamii Forums. Wewe Buchanan unafananisha Kuchoma bendera ya Amerika ya Kitambaa na Kuchoma Quran kitabu cha Waumini wa Dini ya Kiislam Ulimwengu mzima ni sawasawa?
Mkuu Buchanan umesoma Shule Darasa la ngapi? Unaweza Kufananisha Kuchoma moto Bendera ya Amerika na kitabu chako unachokiamini cha ulokole yaani Kitabu cha Biblia? Acha kuweka Picha zako za upuuzi huo kama huna cha kufanya bora Soma Magazeti kwenye internet sio Kujaza Server ndani ya J.Forums. Asante
Wengine hawa hapa:
![]()
Hana kosa lolote sijui kwanini tena kashindwa kutekeleza ahadi yake. kwani hata Waislam kama wangelikuwa wajinga wangelichoma Bible. lakini wanajuwa kuchoma bible hakukna faida yoyote itakayo patikana sawa na kuchoma Quran. Quran zimesha chomwa nyingi saana, me namshangaa sana huyo jamaa, kuchoma Quran si chochote si lolote ktk Uislaa. Quran zimesha chomwa nyingi sana na bado Uislaam haujatetereka. mi naona anajisumbua tu, na nadhani kagundu ndio maana kaacha. 😛layball: