Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT

Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT

Wakutu

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2012
Posts
249
Reaction score
173
Mwanamiziki Suleiman Msindi (Afande Sele) Asubuhi hii naye amejiengua CHADEMA na amejiunga pamoja na Zitto katika Chama cha ACT.

ImageUploadedByJamiiForums1427016204.369364.jpg
 

Attachments

  • 1427015990136.jpg
    1427015990136.jpg
    101.2 KB · Views: 5,017
Huyu naye kapotea hivyo... ujenzi wa chama si lelemama.... ni kama kuoa, kuoa si kazi kazi baada ya kuoa.

Wote wanaotaka kuondoka chadema na kwenda ACT njia nyeupe...mwende....
 
Yah, ni kheri kina ''Mpendazoe'' wafungashe virago mapema kabisa watoke waende zao. This is the screening process. Through this, now we have a chance to know who is the ''real fighter'' in this battlefield.
To hell...,
 
Na zito asipoangali wanamfilisi hawa wavuta bange maana anachokifanya ni kuwahonga
Siasa za kuhonga zina mwisho wake!

Jitafakarini nyie wafuasi wa MTEI, leo mnamuita Afande Sele Mvuta bangi wakati yupo CHADEMA hamkulijua hilo?
 
Back
Top Bottom