PreGE2025 Afande Sele awachana CHADEMA

PreGE2025 Afande Sele awachana CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Sikiliza Afande Sele alivyowashukia CHADEMA hapa

SNITCH ,yaani,mtu ambaye katika kura ya maoni anasema,"Nina mashaka yule ni kibaka".
Ndio Jehovah alimwambia King David kwamba wapo fulani wamefanya makosa.
Mfalme Daudi akasema,"Mungu,nionyeshe hao niwaadhibu sasa hivi."
Mungu akamwambia king David,"Kwani Mungu amekuwa mmbeya sasa. Wewe watafute hao watu halafu uwaadhibu."
And a new religion shall sweep across the land.
Dini mpya itatamalaki katika nchi.
 
Sasa kama mtu aliwahi Mtukana Mungu nae hakujibu akikutukana mwanadamu ukajibu ni dhambi .kwan unamaanisha unahadhi ya kutotokanwa kuliko Mungu.

Hizo bangi anazolewa anavua suruali na analalaga na masela wa moro hawajagonga siku mingi sababu ya msokoto sidhan kama hawajamuwaha salama .
Screenshot_20240504_131021_Chrome.jpg
 
Hii inaitwa point blank!, Cha Arusha, hakiongopi!.
P
Kwa uzoefu wanaovuta kiasi wanakuwa smart sana .ila hawa wasanii huitumia kufanyia ubunifu duniani wasanii wengi wa vinyago,wamitindo ,wachoraji huamini inauwezo wa ubunifu ndo maana bongo 97% huvuta .na nusu ya wanasiasa
Ila ikifikia extreme levels ndo hii
Screenshot_20240504_131021_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom