yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Katika mahojiano haya ambayo kwa kiasi kikubwa yamelenga kuoanisha suala la maendeleo ya "vitu na watu", Afande Sele amekiri kuwa Zitto Kabwe si mjinga na anafahamu akili na uelewa wake mzuri ingawa ameeleza kuwa kwa wakati huu ambao siasa zimekosa ajenda, basi ni wakati sahihi wa kiongozi huyo wa chama cha ACT- Wazalendo kutafuta ajenda mbadala.