LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Wapiga tarabu wanao tayari mchungaji natse ni mithiri ya hao.
wapiga taarabu wapo ccm khadija kopa.john komba Nk.
Wapiga tarabu wanao tayari mchungaji natse ni mithiri ya hao.
Mkuu kwani hujaona picha za sele alizovua nguo?
Hahahahaa!!! mkuu Communist Chadema mmetisha bado dudu baya na Kalapina kikosi kikamilikeRoho inakuuma sana, pole. Hapa wasanii wapo kazini. We lia tu, kwa maana zama zenu zimefikia ukingoni.
Mnaonaje 20% nae mumpe shavu la Mkuranga?Roho inakuuma sana, pole. Hapa wasanii wapo kazini. We lia tu, kwa maana zama zenu zimefikia ukingoni.
Chadema chama cha vijana wasomi :A S-baby: Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiMbona mambo yako ni ya Kishoza, wakati ID ni ya Kiume. We utakuwa shonza tu.
![]()
Hapo vipi, tatizo ni hawa wanaotawala ndio wanawafundisha wasanii kuwa hivyo. Wakija CDM tunawaweka sawa.
Lissu,Sugu,Lema,Msigwa,Nasari,Afande Sele... Hahahahahahaaaa!!!!!Wewe unajihesabu katika wasomi au mamburula?