Mkuu jaribu kua na heshima kwa wachunga usen... Wako peleka kule siasa haiendi hvo na adabu hainunuliwi
Kwa mchungaji natse.
Kwa mchungaji natse.
UshawishiAtuwekee picha ya jangili wa tembo pamoja na profesa Mlawiti!
Mkuu mimi matusi nimetukanwa sana na bavicha yote yameisha hakuna hata moja ambalo sijatukanwa unachofanya unarudia tu naomba ongeza lingine kwani bangi chadema ni jadi yenu mlianza na shetani mtamaliza na shetani.Mkuu jaribu kua na heshima kwa wachunga usen... Wako peleka kule siasa haiendi hvo na adabu hainunuliwi
Wapiga tarabu wanao tayari mchungaji natse ni mithiri ya hao.
Ni vizuri kumpokea, lakini hili suala la kumpa cheo mwanachama ambaye hata hajamaliza siku ndani ya chama ni kosa kubwa sana la kiufundi. Kila mtu mkweli atakubaliana na mimi katika hili. Ninaipenda sana chadema lakini siwezi kuacha kukosoa pale inapolazimu.
Kumbe bungeni wanatunga mashairi du kazi kweli hawa ndiyo bijana wa chadema wanawaza mashairi badala ya kutunga sheria na kuleta maendeleo kwa watu.mkuu huyu jamaa anamashairi yaliyoenda shule potelea mbali matendo yake ila yatadumu
hebu tujuze uzuri amajiunga uanachama leo? my take ni pale mwanachama mpya kukabidhiwa cheo cha uenyekiti siku hiyo hiyo. Daima tukumbuke kiongozi ni lazma afinyangwe na kupikwa uzuri ili kujikinga na virusi masalia wasijipenyeze
Ahsante mkuu kwa picha nilitaka waone watu huyo sele anayesemwa alivyokituko ha ha ha ha,bado ya yule mshikaji mwingine sasa kweli chadema manyago.
Wavua nguo kama sele mnajulikana tu mkuu.
Huyu jamaa hajawaona Makirikiri wanavaaje. Hata historia hajuai kwamaba watu walikuwa wanavaa hivyo sio muda mrefu uliopita. lakini cha zaidi, watu hubadilika kutokana na shughuli wanazofanya. Nampongeza Kamanda Afande SeleSiasa za majitaka ni jadi yako. Laiti ungemuiga baba yako wewe!
Hiyo ni task force ya muda mfupi, kutafuta viongozi wa kudumu. Roho inakuuma sana. Kwani hayo mafisadi yenu yana experience ya miaka mingapi?Ni vizuri kumpokea, lakini hili suala la kumpa cheo mwanachama ambaye hata hajamaliza siku ndani ya chama ni kosa kubwa sana la kiufundi. Kila mtu mkweli atakubaliana na mimi katika hili. Ninaipenda sana chadema lakini siwezi kuacha kukosoa pale inapolazimu.
Afadhali tumeongeza idadi ya watu wa kupigana kwenye chama na kuvua nguo kwahiyo wenye uwezo wa kuvua nguo chadema sasa ni wawili safi sana.
Wakuu tuwekeeni ile picha afande sele kavua nguo na ile ya lema aliyovua nguo tuone nani mkali wa kusaula.
Mimi sio maiti hata niwe mfuasi wa CCM. Najitambua.Mkuu na wewe upo kundi la amfibia pole sana vitanda ulivyovitandika lazima uvitandue tu.
Mkuu kwani hujaona picha za sele alizovua nguo?