Afande Sele Aingia CHADEMA Rasmi Morogoro

Afande Sele Aingia CHADEMA Rasmi Morogoro

Mtakusanya mpaka wapiga taalabu ,lakini naona mnaingia kizani tu ,Chadema patupu ,amna kitu !
Angalia Mjomba wako akikata mauno - akitanganza vita dhidi ya Ufisadi na meno ya Tembo.
69.jpg
 
kamati kuu ikishakaaa na kutathmini itatoa nasaha zake
 
Movie ya wasanii kuingia Chadema ni nzuri sana ila hawajatumika vizuri,. Ben Sanane, Mnishi, Heche tunataka kuona ubunifu wenu ili wawe faida kwa chama. Niliwahi kutoa ushauri hapa jinsi ya kutumia wasanii hawa kwa faida ya chama nadhani mods wanawezarudisha huo uzi lakini pia kama nikipata personal emails za niliyowataja hapo juu maana mikakati mingine inabidi iwe siri.
 
Shonza umechuja wewe!
kichwa cha mwendawazimu hakisikii ushauli, kwa akili zako ndogo Afande Sele ni kiongozi wa wavuta bangi au wananchi wenye akili timamu? kwa ushauli wangu ajipange asije yakamtokea yaliyompata marehem Ngweya. tutashangaa sana kuona hajifunzi kutokana na makosa.
 
ccm wanafiki sana bado ndo tunaanza chadema lazima ccm tuizike kaburini 2015
 
CCM sasa wamechanganyikiwa, moto wa CDM unawatisha wakuu sasa wanategemea muuzija , hapa wameula wa chua ndo maana wanategemea CDM ifanye UCHAGUZI mkuu ili waweke mapapeti wao na cdm TAYARI IMEWEKA MSAIMAMO WAKE WAZI , UCHAGUZI NI BAADA YA 2015 , KIFO HICHOOOOOOOOOOOOOOOOOO KWA CCM. halo halo ,haloooooooooooooooooo !!!!!!
 
Back
Top Bottom