Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Vipi leo mtasambaza ukimwi maeneo gani katika utekelezaji wa sera yenu kama inavyofanywa na kada wenu Alhaji kapuya?Kuna tawi la Mirembe pale Ufipa viroba vimeharibu mfumo wa akili za vijana wa Chadema.Afande Sele atasaidia kuwajenga kimaadili.