Afande Sele Aingia CHADEMA Rasmi Morogoro

Afande Sele Aingia CHADEMA Rasmi Morogoro

Mgombea Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini kupitia Chadema-Afande Sele! Amefuata nyayo za Sugu! Nikutakie maisha marefu ya kisiasa Kamanda Sele ndani ya Chadema mwaka 2015 ushindi ubunge upata hata Unaibu Waziri
View attachment 122021
9k=
 
Anajisumbua na kupoteza muda wake. mwenzake alisimamishwa kama jiwe tu nu bahati yake historia haijirudiiii
 
Si mbaya. Kichaa aliyejitambua ni zaidi ya Buku 7 10 pale Lumumba. Tanzania ni ya watu wote pasipo ubauguzi. Kama anaweza kuwavuta wenzie, mbao kiukweli ndo walikuwa wapiga kura wa ccm basi 2015 kwa cdm.
 
Ahsante mkuu kwa picha nilitaka waone watu huyo sele anayesemwa alivyokituko ha ha ha ha,bado ya yule mshikaji mwingine sasa kweli chadema manyago.

Kati ya huyu aliyevua nguo, na yule aliye wafunga Akina babu seya kwa sababu ya kugombea mwanamke, na huyo waziri wenu aliyebaka na kuambukiza kitoto ukimwi, nani mshenzi hapa!?
 
Mbona mnawapa sifa chadema ambazo niza ccm, waimba taarabu wapo ccm. Si kina komba, kopa,viki kamata,nk
 
Wapiga tarabu wanao tayari mchungaji natse ni mithiri ya hao.

Kwani Komba ni mpiga nini?
Mbona mnajifanya kusahau?
Huyu si ndie alitoa albam ya Nyerere
'eti ndani ya nusu saa nyimbo 14 kidogo'
 
Back
Top Bottom