Ile hauhitaji kuwa mvitaji ili kumtambua mtu kuwa ni mteja.Mlikua mnavuta wote? ulijuaje?
Ile hauhitaji kuwa mvitaji ili kumtambua mtu kuwa ni mteja.Mlikua mnavuta wote? ulijuaje?
Haya endeleeni salama ila mumshauri huyu jamaa asije akavua nguo katikati ya kampeni ya kuomba kura wananchi halafu akina Nape wakapata point za kukibomoa chama chenu.Hakuna kusanda,hakuna kumbwanda,mbele kwa mbele makamanda,vua gamba vaa gwanda kisha kaza mkanda, wanashuka sisi tunapandaaa,,,, (Kama Bob Marley vile)
Mkuu kwani hujaona picha za sele alizovua nguo?
Jpilipili usizo kula zinakuashia nini mkuu. Vumilia dawa ukuingie vizuri ili upone maradhi hayokweli ktk mandondocha na wewe umo, ivi nini maana ya democrasi? acha ushamba shapu, kwani umeambiwa chadema hakina viongozi safi zaidi ya mbowe na slaa? kama kweli basi Cdm ni chanzo cha wachache cha kujipatia fedha. zumbukuku
Wewe ni mwafalsafa mkali. yaani umeiweka kitaalamu zaidi.çcm ni sawa na mashetani tuu,wanawatia watu mashikizo/stress mpaka watu wanavua nguo alafu yanashabikia na kuwacheka,
afadhali watu pamoja na kufanywa vituko na maccm wajitolée kuleta mapinduzi kwa namna yeyote ile
NAMPONGEZA AFANDE SELE KWA HATUA YAKE HIYO,Nawapongeza pia chadema kwa kummpokea na wawapokee na wengine wengi waliotendwa na maisha
Maswali yangu kwa wanaCDM,
Mosi, hivi uchaguzi ndani ya chama chenu ni throughout the year? Naona kila siku nasikia chaguzi za kata, kijiji lakini taifa sijawahi sikia!
Pili,Afande Selle amechanganyikiwa sana hata hiyo sherehe yake ilikuwa hoi bini taabani! Kwa mfano wa Afande Selle apambane na Abood, kipenzi cha wanamorogoro hamuwezi hata kwa 0%.
CDM jipange kutafuta candidate bora na sio bora candidate!
Kwa mtaji huu mtakiona cha moto 2015, Waluguru sio Kama Wanyakyusa au Wameru? They're different social animal!
Mtakusanya mpaka wapiga taalabu ,lakini naona mnaingia kizani tu ,Chadema patupu ,amna kitu !
Wavua nguo kama sele mnajulikana tu mkuu.
Hapa hakuna mwana - CCM hata mmoja... Ni watu mliofuata mtu CCM na bado mnafuata mtu CDM na zaidi ya yote mmekuwa wasemaji wa watu mliojiweka nyuma yao!!!... Hapa hakuna SIASA... Ni ajenda!!... Ukaskazini ni kivuli cha kujifichia.Huyu ndie AFANDE SELE ambae amejiunga na CHADEMA rasmi leo kwa Ushawishi wa M4C! Karibu sana Chadema Afande Sele tutafute ukombozi pamoja! Peoplessssssss....poweeeeer!
Mtakusanya mpaka wapiga taalabu ,lakini naona mnaingia kizani tu ,Chadema patupu ,amna kitu !
Afadhali tumeongeza idadi ya watu wa kupigana kwenye chama na kuvua nguo kwahiyo wenye uwezo wa kuvua nguo chadema sasa ni wawili safi sana.
Wakuu tuwekeeni ile picha afande sele kavua nguo na ile ya lema aliyovua nguo tuone nani mkali wa kusaula.
Wapiga tarabu wanao tayari mchungaji natse ni mithiri ya hao.
Wavua nguo kama sele mnajulikana tu mkuu.
View attachment 122013
Huyu ndie AFANDE SELE ambae amejiunga na CHADEMA rasmi leo kwa Ushawishi wa M4C! Karibu sana Chadema Afande Sele tutafute ukombozi pamoja! Peoplessssssss....poweeeeer!
Ile hauhitaji kuwa mvitaji ili kumtambua mtu kuwa ni mteja.
Hapa hakuna mwana - CCM hata mmoja... Ni watu mliofuata mtu CCM na bado mnafuata mtu CDM na zaidi ya yote mmekuwa wasemaji wa watu mliojiweka nyuma yao!!!... Hapa hakuna SIASA... Ni ajenda!!... Ukaskazini ni kivuli cha kujifichia.Haya endeleeni salama ila mumshauri huyu jamaa asije akavua nguo katikati ya kampeni ya kuomba kura wananchi halafu akina Nape wakapata point za kukibomoa chama chenu.
Ukweli ni kwamba, CCM Morogoro, wamechanganyikiwa sana. Sasa nilivyosikia hii ni mwanzo tu, yaani kuna kitu kitafanyika katika wiki mbili zijazo, ambacho hawatakisahau, ni cha amani tu.Hapa hakuna mwana - CCM hata mmoja... Ni watu mliofuata mtu CCM na bado mnafuata mtu CDM na zaidi ya yote mmekuwa wasemaji wa watu mliojiweka nyuma yao!!!... Hapa hakuna SIASA... Ni ajenda!!... Ukaskazini ni kivuli cha kujifichia.
Mtakusanya mpaka wapiga taalabu ,lakini naona mnaingia kizani tu ,Chadema patupu ,amna kitu !
Mi naona we ni mtupu na kichwani mwako hamna kituMtakusanya mpaka wapiga taalabu ,lakini naona mnaingia kizani tu ,Chadema patupu ,amna kitu !
Kumbe bungeni wanatunga mashairi du kazi kweli hawa ndiyo bijana wa chadema wanawaza mashairi badala ya kutunga sheria na kuleta maendeleo kwa watu.