Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
- Thread starter
- #161
Kuna viongozi wanahama, wanakufa, wanachoka nk. Inapobidi nafasi hujazwa. Hii inahitaji akili ndogo sana kujua. Mwenyekiti wa kata ya Mafiga alihama, na Afande Sele amekula Bingo. Nakuomba usimuonee wivu, mtie moyo.huyo ata akienda bagamoyo kugombea ubunge atakuwa mbunge si morogoro tu, kabeba ufalme wa rymes akiwa moro sembuse ubunge.