Tukijiajiri wote nani atafanya kazi hizi tunazofanya?Kila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?
Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Ikiuma chomoa.Pole sana
Ameongeza ila hajataja kiwango.
Motivational speakers bana.Kila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?
Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Njaa itakuua mwaka huu mbwa weeeWatumishi mnashangaza mno.
Hivi hiyo mishahara inapanda kila mei mosi kwa kipato kipi??
Hivi ni nchi gani hapa Duniani ambapo kila mei mosi hotuba ya Rais ni kupandisha mishahara tu.
Binafsi nimejiajiri kwenye kilimo ila MSHAHARA MKUBWA NI HAKI YANGU PIA.Kila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?
Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Wivu nikuonee wewe unaeomba kuongezewa mshahara kila mwaka?Ha ha ha ha
Wivu unakusumbua.
Hapo ulipo utakuwa unahangika kila leo kuomba ajiran
Hata kidogo, mkubali mkiamshwa usingizini, haiwezekani kila Mei Mosi nyie ni kulia tu, hamjiulizi mpaka lini?!We jamaa umevurugwa sana!
Hii ndio dalili kuu ya omba omba; hasira, tukana tu angalau upate nafuu kisaikolojia, but ukumbuke mwisho wa siku utaendelea kuwa omba omba.Makengeza Mbowe ameshakufira mpaka akiki zimekuruka Kama kichaa mnywa mbege
Ameogopa kwasababu aibu ya aibu udogo wa nyingeza ya mshahara wenyewe...Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Kwanini makengeza Mbowe Hana huruma kabisa. Kawaharibu kabisa akili, aiseeHii ndio dalili kuu ya ombaomba; hasira,
Tunamiss yule Diamond mwanamuziki.Tunammiss Diamond entertainer......TunammissDiamond drama boy.....Kiukweli Diamond akipoa na muziki wetu unapoa.... Diamond ni kama chameleon alivyokuwa anaubeba muziki wa uganda.
Diamond tangia awe CEO wa biashara kubwa kubwa amekuwa anafanya muziki kibepari sana kuna zile mbwembwe za Diamond hatuzipati tena.
Awa vijana wanaojaribu kupita njia zake bado sana hawana nyota ya mvuto mwisho wa siku wanaboa tu.
I wish Diamond asingekua na biashara kubwa na endorsement kubwa kubwa ili tupate ile taste halisi ya diamond.
Watumishi mnashangaza mno.
Hivi hiyo mishahara inapanda kila mei mosi kwa kipato kipi??
Hivi ni nchi gani hapa Duniani ambapo kila mei mosi hotuba ya Rais ni kupandisha mishahara tu.
Poverty mentality..unapewa incrimental ya mshahara.either kodi inaongezeka au wewe unapandisha matumizi yako maradufu..then baada ya miaka miwili unalia tena incremental iongezwe..the viscous cycle inajirudia tena..its not about the salary.its about you..
How many are you? huo mshahara mkubwa mnaotaka mtapewa na hii serikali iliyopewa pesa za Royal Tour na wafadhili?Binafsi nimejiajiri kwenye kilimo ila MSHAHARA MKUBWA NI HAKI YANGU PIA.
Siwezi acha kuokota buku kisa Nina milioni mfukoni..!!!
#YNWA
Naona hasira zimepungua baada ya kuelewa ukweli, amka usingizini tazama fursa nyingine, usiwaze watu wasiokuhusu fikiria kuongeza kipato chako uache kugeuzwa mtumwa.Kwanini makengeza Mbowe Hana huruma kabisa. Kawaharibu kabisa akili, aisee
Nishajiongeza tokea zamani.How many are you? huo mshahara mkubwa mnaotaka mtapewa na hii serikali iliyopewa pesa za Royal Tour na wafadhili?
Jiongezeni.
Si bora hata royal tour, pesa kwa ajili ya anuani ya makazi walikua wanapita madukani kwa wafanyabiashara kuombaHow many are you? huo mshahara mkubwa mnaotaka mtapewa na hii serikali iliyopewa pesa za Royal Tour na wafadhili?
Jiongezeni.
Hiyo ni kauli ya ahadi mkuu.Mbona ametangaza na amesema wanafanyia mahesabu ili wajue ni kiasi gani