Afadhali Rais Samia kaukwepa mtego wa kutangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Hongera mama!

Watumishi mnashangaza mno.

Hivi hiyo mishahara inapanda kila mei mosi kwa kipato kipi??

Hivi ni nchi gani hapa Duniani ambapo kila mei mosi hotuba ya Rais ni kupandisha mishahara tu.
 
Kila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?

Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Tukijiajiri wote nani atafanya kazi hizi tunazofanya?
 
Eti ana akili kuliko mtangulizi wake! hivi mada zenu huwa hazikamiliki bila kumsimanga jpm?
 
Hili la kila mwaka chama cha wafanyakazi kumpigia magoti rais kumuomba aongeze mishahara ya watumishi ni kielelezo tosha cha namna hicho chama kilivyo pandikizi la ccm.

Chama kinachoongozwa na makada wa ccm na watu wa usalama kamwe hakiwezi kupigania haki za wanachama wake ndio maana wanasubiri ifike May mosi ndio wampigie rais magoti.

Bure kabisa, nchi hii haina chama cha wafanyakazi ni matawi ya ccm tu.
 
Watumishi mnashangaza mno.

Hivi hiyo mishahara inapanda kila mei mosi kwa kipato kipi??

Hivi ni nchi gani hapa Duniani ambapo kila mei mosi hotuba ya Rais ni kupandisha mishahara tu.
Njaa itakuua mwaka huu mbwa weee
 
Kila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?

Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Binafsi nimejiajiri kwenye kilimo ila MSHAHARA MKUBWA NI HAKI YANGU PIA.

Siwezi acha kuokota buku kisa Nina milioni mfukoni..!!!

#YNWA
 
Makengeza Mbowe ameshakufira mpaka akiki zimekuruka Kama kichaa mnywa mbege
Hii ndio dalili kuu ya omba omba; hasira, tukana tu angalau upate nafuu kisaikolojia, but ukumbuke mwisho wa siku utaendelea kuwa omba omba.
 
Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.

Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.

Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.

Mama Samia hoyeeee!!!
Ameogopa kwasababu aibu ya aibu udogo wa nyingeza ya mshahara wenyewe...
 
Tunamiss yule Diamond mwanamuziki.Tunammiss Diamond entertainer......TunammissDiamond drama boy.....Kiukweli Diamond akipoa na muziki wetu unapoa.... Diamond ni kama chameleon alivyokuwa anaubeba muziki wa uganda.

Diamond tangia awe CEO wa biashara kubwa kubwa amekuwa anafanya muziki kibepari sana kuna zile mbwembwe za Diamond hatuzipati tena.

Awa vijana wanaojaribu kupita njia zake bado sana hawana nyota ya mvuto mwisho wa siku wanaboa tu.

I wish Diamond asingekua na biashara kubwa na endorsement kubwa kubwa ili tupate ile taste halisi ya diamond.

Watumishi mnashangaza mno.

Hivi hiyo mishahara inapanda kila mei mosi kwa kipato kipi??

Hivi ni nchi gani hapa Duniani ambapo kila mei mosi hotuba ya Rais ni kupandisha mishahara tu.

Poverty mentality..unapewa incrimental ya mshahara.either kodi inaongezeka au wewe unapandisha matumizi yako maradufu..then baada ya miaka miwili unalia tena incremental iongezwe..the viscous cycle inajirudia tena..its not about the salary.its about you..

Msijali....

Side hustles tunazo na mishahara minono tunaitaka.

HATUWEZI acha kuokota buku kisa tunamilioni mfukoni.

Hela zoteee tunalamba.

Usiache fursa ya ubwabwa ipite kisa umeshiba.
Kilichookotwa kitawekwa kwenye friji kwa matumizi ya kesho..!!!

#YNWA
 
Binafsi nimejiajiri kwenye kilimo ila MSHAHARA MKUBWA NI HAKI YANGU PIA.

Siwezi acha kuokota buku kisa Nina milioni mfukoni..!!!

#YNWA
How many are you? huo mshahara mkubwa mnaotaka mtapewa na hii serikali iliyopewa pesa za Royal Tour na wafadhili?

Jiongezeni.
 
Kwanini makengeza Mbowe Hana huruma kabisa. Kawaharibu kabisa akili, aisee
Naona hasira zimepungua baada ya kuelewa ukweli, amka usingizini tazama fursa nyingine, usiwaze watu wasiokuhusu fikiria kuongeza kipato chako uache kugeuzwa mtumwa.

Najua chungu lakini ndio dawa, meza tu.
 
How many are you? huo mshahara mkubwa mnaotaka mtapewa na hii serikali iliyopewa pesa za Royal Tour na wafadhili?

Jiongezeni.
Nishajiongeza tokea zamani.

"Naitwa Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi"

Ila nachosema " Mshahara mkubwa ni haki yangu"

Cc:- picha 👇👇
IMG-20220319-WA0002.jpg


Mwezi ujao tunaanza jaza mifuko ya pesaaaa.

Ila MSHAHARA MKUBWA LAZIMA.

#YNWA
 
How many are you? huo mshahara mkubwa mnaotaka mtapewa na hii serikali iliyopewa pesa za Royal Tour na wafadhili?

Jiongezeni.
Si bora hata royal tour, pesa kwa ajili ya anuani ya makazi walikua wanapita madukani kwa wafanyabiashara kuomba
 
Back
Top Bottom