Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!