ADVICE: Ninunue gari aina gani?

ADVICE: Ninunue gari aina gani?

Haswaaaa...umenena...au kauza shamba la urithI.may be may be

Bado natafakari juhudi binafsi za mtoto wa kike zilimzofanya akameki mil7 kwa mshaara wa laki 3! I don' wanna keep the receipt so i dont buy her bull.ish or im gonna learn today
 
Hapa ni Pa GT,ETI NILISHINDA ile gari Hyundai i10 za voda my as.s! Unakumbuka kwamba zilitoka mwaka 2010? Ulishinda watk bado haujaingia chuo na sasa bado unayo na ushaajiriwa,chuo ulianza lini na umemaliza mwaka gani? Na kazi umeanza lini? Labda kama ulisoma chuo cha upendo vocational training centre cha sinza.

Watu wengine wana mashauzi ya kiboya sana hiyo taa ya laki 6 kasoro aliinunua kwa pesa gani wanayolipwa na HESLB?? Safi bora umchane tu huyo boy.a
 
Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.

Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.

Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.

Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?

Achana na magari wekeza kwenye viwanja,nenda maeneo ya nje ya mji kwembe,mbezi madare,bunju mapinga,kisalawe,geza,mbutu,chanika nunua viwanja kwhyo milion 7 unaweza ukapata hata viwanja vi5 vya bei ya 1m mpaka 2m hakikisha viwe na njia,ukivitunza vizuri kuvilima na kupanda miti na maua baada ya mwaka unaweza ukapata hata mil 15 hadi 18 kama ukiuza,msikilize tofali alivyokueleza
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine wana mashauzi ya kiboya sana hiyo taa ya laki 6 kasoro aliinunua kwa pesa gani wanayolipwa na HESLB?? Safi bora umchane tu huyo boy.a

Jamaa ni mbulura sana anakuja kutuongopea wazi wazi taa ya laki 5.9 kanunuaje wkt hana kazi alikuwa anasubiri kwenda chuo it means alisomeshwa na bodi amesahau kwamba voda walitoa hz gari mwaka 2010 na kipindi hicho ndo alikuwa anasubiri kwenda chuo sasa siju huyo alianza lini hcho chuo na alimaliza lini?
 
achana na gari wewe, itakucost mbunye yato tu kuimaintain

tafuta vyanzo vya pesa, sio vyanzo vya matumizi
 
Muache atangulie
kweli kabisa....tumuache akikua ataacha
ila nimejifunza kitu usione watu wapo kwenye magari yao ukadhani wote wapo safi...kuna gari ikikugonga mwenyewe hata hela ya panadol kumbe hana..tembea kwa uangalifu sana barabarani ...hela zingine za wasiwasi sana
 
Au unatamani kushikilia remote na funguo mkononi akiwa mlimani cty!
 
Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.

Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.

Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.

Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?

Mi nakushauri hiyo tafuta kiwanja nunua magari yapo ..Tafuta kiwanja we mdada ununue?
 
Mpwa Lushoto inafika?

mpwa imepiga route za Lushoto za kutosha, hivi ninavyosema ndio nimerudi Jana jioni na ninetumia wastani WA lita 28 Tu kwa 374km. DUET ilikua na maparachichi, karoti, machungwa, ngongwe, abiria na mimi dereva, nimetembea hadi 140km. Iko vizuri japo nataka niiuze sasa
 
Mie niko mwanza, so huwa nafanyia BP ya huku huku Mwanza, mkabala na PPF plaza

Me mwenyewe nilishangaa....service si chini ya bei hiyo....la sivyo za uchocho ndo itakuwa hivyo...ila bibie mbona bp nasikia wako juu kibei si chini ya kilo...nielekeze hiyo bp ulofanyia niende next time
 
Mmenikumbusha wimbo WA ROSE MUHANDO, WOGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO. Kuna maneno yanasema, acha kujifunza kwa walioshindwa, walioshindwa wana maneno mengi, utawakuta mchana kutwa vijiweni, Fulani Ana gari zuri amehongwa na Fulani, Fulani Ana nyumba nzuri ameibia kampuni.....you can google it. Una mafunzo mengi hasa kujibu hoja ya milioni Saba kwa laki tatu
CC: miss username na Paloma Smile na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Mmenikumbusha wimbo WA ROSE MUHANDO, WOGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO. Kuna maneno yanasema, acha kujifunza kwa walioshindwa, walioshindwa wana maneno mengi, utawakuta mchana kutwa vijiweni, Fulani Ana gari zuri amehongwa na Fulani, Fulani Ana nyumba nzuri ameibia kampuni.....you can google it. Una mafunzo mengi hasa kujibu hoja ya milioni Saba kwa laki tatu
CC: miss username na Paloma Smile na wengineo

Mpwa ni kweli usijifunze kwa walioshindwa. Nakumbuka kulikuwa na uzi wa gharama za ujenzi mpwa mle ndani watu walitoa figure ambazo kama unajifunza kwa walioshindwa unaweza usijaribu kabisa !
 
Leta pesa ununue corolla E 111, usiumize kichwa na mark II hizo, utachoka akili inapokuja spare...achilia mbali servicing
 
Umeona unavokurupuka, soma tena maelezo yangu, nmetembea na gari nikiwa nimemaliza k.6 hehe inakuuma? then ckusema nmeinunua

wivu, kuropoka, sawasawa na umaskin ulio nao

Hapa ni pa ma great thinker wewe keng.e hauwezi kuja na story yako ya kiuongo uongo tupoteze mda wa kuchangia tunampa makavu live,usitake nawe msengerema kudanganya watu hapa jamvin huna kazi lkn umeweza kununua taa ya gari laki 5 na 90,huna kazi lakin umeweza kuendesha gari ukiwa secondary mpaka ukaingia chuo? Upuuzi kama huu ndio hatuutaki humu we keng.e kaongopee wasengerema wenzako liberali mkubwa we.
 
nimeajiriwa mwaka huu kama mwalimu
cjakurupuka jipange

Hapa ni Pa GT,ETI NILISHINDA ile gari Hyundai i10 za voda my as.s! Unakumbuka kwamba zilitoka mwaka 2010? Ulishinda watk bado haujaingia chuo na sasa bado unayo na ushaajiriwa,chuo ulianza lini na umemaliza mwaka gani? Na kazi umeanza lini? Labda kama ulisoma chuo cha upendo vocational training centre cha sinza.
 
Unajua JF kuitwa great thinker sio wote wenye cfa hizo wengne mburura tu, nani kaaema nilitumia fedha ya mkopo, na nani kasema nilkuwa napata mkopo, umekariri.

nmesema nilimudu gari ya zawadi nikingali hata sina kipato, sasa nilipata wapi fedha ya kununua taa hiyo ni mimi, i just wanted to show her that she can, niuamuzi tu, anunue gari

then nijishauwe kwako ili? maana hunujui, ckujui, hapa c fb. take kea
Watu wengine wana mashauzi ya kiboya sana hiyo taa ya laki 6 kasoro aliinunua kwa pesa gani wanayolipwa na HESLB?? Safi bora umchane tu huyo boy.a
 
Carina TI,Spacio au Suzuki swift....hakikisha unaendelea na juhudi binafsi lakn,maana mshahara hautatosha kusupport both ww na gari.
 
Back
Top Bottom