Umeona unavokurupuka, soma tena maelezo yangu, nmetembea na gari nikiwa nimemaliza k.6 hehe inakuuma? then ckusema nmeinunua
wivu, kuropoka, sawasawa na umaskin ulio nao
Azungushe kwenye nini?mimi nadhani kwa hapa mjini kama unafanya kazi ya kuajiriwa ya kuingia saa mbili asubuh tu jion saa 11, basi gari ni muhimu sana!few things u can do for let's say 7 Million,may b kama wapenda kulima au kufuga huko nje ya mji!otherwise 7 million haiwez kutosha kwa biashara isiyokupa headache! Kumbukeni kufungua biashara sio kazi,kazi ni usimamizi!
Muda utakaopoteza vituoni kama huna gari ni mkubwa sana!
Asiongopee watu hata kama ameolewa mme wake anahudumia kila ki2 bado hawezi kumeki mil7 yeye anajua ameipataje hyo hela mkopo,uchumi aliokalia au uliberali,kuongwa na mapedeshee.
kaka swali la msingi nani anafanya hiyo kazi?wewe au umeajiri mtu?napingana na mawazo yako ya kusema 7m haitoshi kwa mtaji!!..mm nilianzisha mpesa,tigo pesa,airtel money just for the capital of 5m na sasa imezaa imekua 10 within a year!!,kibusness changu kinanizalishia kati ya laki8 mpaka 1m kwa mwez kwa capital hiyo ya 5m nloanza nayo!!jaman ujasiriamali hauhitaji mtaji mkubwa ni akili tu,hata 1m ni mtaji wa kutosha na ukiimanage vzr baada ya mwaka inakua 5m hiyo!
Ushauri uliotoa ni mzuri na ni vema mhusika akazingatia. huu ni mwaka wa 3 natumia Corolla AE110 na haijawahi kuni-disappoint...nakushauri ununue Toyota corolla AE110 au AE111....
Hakuna neno mkuu,hawezi kukuelewa sasa hivi muache ajifunze the hard way kidogo..ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kumiliki gari kuwa gari ni liability..
Mimi najua watu kadhaa ambao pamoja na kuwa na salary ya Tshs 3m kwa mwezi bado hawajanunua magari ya kutembelea...sasa laki 3 hata mafuta haitoshi
kaka swali la msingi nani anafanya hiyo kazi?wewe au umeajiri mtu?
Kwakweli kwa kipato chake duh napata hofu juu yake.
Najua atanunua gari maana tayari anaonesha anachotaka kufanyia hizo m7 ni kununua gari.
M7 ni ndogo sana na ni nyingi sana.
Natamani muomba ushauri abadili nia then atafute kitu kinachoweza kumuongezea kipato kwa hizo m7.
Mi naona kama mwenzetu bado hana uwezo wa kumuliki gari.
Naona kama akinunua gari atajizidishia ugumu wa maisha.
Laki 3 ni ndogo sana,ingekua mimi kitu ambacho ningekipa kipaumbele ingekua ni kujiongezea kipato.
Bado natafakari juhudi binafsi za mtoto wa kike zilimzofanya akameki mil7 kwa mshaara wa laki 3! I don' wanna keep the receipt so i dont buy her bull.ish or im gonna learn today
mkuu upo sahihi kabisa,tatizo vijana sikuiz tunapenda sn starehe ilhali uwezo hautoshi!!hiyo 7m kama ataiinvest kwenye biashara namuhakikishia baada ya 1 or2 yrs ananunua hata rav4 sio tu vits,huku mtaji wake ukiwa unaendelea kuproduce profits!!,ok ila kwakua ni bint huenda ameolewa na anahudumiwa kila kitu hadi mafuta na services hua wanasaidiwa hao bana na mashemeji zetu,namshauri anunue vitz!!
Acha kumkatisha tamaa mwenzio na waswahili wanasema maisha ni mipango. Kuna iliepanga kuanza na gari then nyumba, pia mwingine ndoa then gari, mwingine nyumba kwanza mengine yanafuata.
Pia kumbuka inategemea na kaza pia mizunguko ya mtu anaweza akaona matumizi ya tax, bodaboda au daladala na gharama pia anapoteza muda mwingi kuliko anapokua na usafiri binafsi.
hivi laki tatu ..hapo anaishi nyumba gani? bado kulipia parking kila siku sio chini ya elfu moja
majanga sana jamani....khaaa
thats where the problem is....BP ni expensive for nothing.....kuna ile TOTAL pale morogoro road near mtendeni primary school/AKIBA kuna mpemba pale anafanya bei rahisi sana.....nimesahau kuandika ENGINE OIL ambayo ni 32000-70000 kutegemea na uitakayo.....
mkuu upo sahihi kabisa,tatizo vijana sikuiz tunapenda sn starehe ilhali uwezo hautoshi!!hiyo 7m kama ataiinvest kwenye biashara namuhakikishia baada ya 1 or2 yrs ananunua hata rav4 sio tu vits,huku mtaji wake ukiwa unaendelea kuproduce profits!!,ok ila kwakua ni bint huenda ameolewa na anahudumiwa kila kitu hadi mafuta na services hua wanasaidiwa hao bana na mashemeji zetu,namshauri anunue vitz!!