ADVICE: Ninunue gari aina gani?

ADVICE: Ninunue gari aina gani?

Azungushe kwenye nini?mimi nadhani kwa hapa mjini kama unafanya kazi ya kuajiriwa ya kuingia saa mbili asubuh tu jion saa 11, basi gari ni muhimu sana!few things u can do for let's say 7 Million,may b kama wapenda kulima au kufuga huko nje ya mji!otherwise 7 million haiwez kutosha kwa biashara isiyokupa headache! Kumbukeni kufungua biashara sio kazi,kazi ni usimamizi!
Muda utakaopoteza vituoni kama huna gari ni mkubwa sana!
asipokuwa na hiyo gari atakufa?
 
...dada yangu "miss username" mshahara wa laki3 ! umeweza kudunduliza ukafikisha 7mil. !
- je hizo pesa hazifungamani na MKOPO kutoka taasisi za fedha / za mikopo?

-

Hazifungamani na mkopo wa aina yoyote ni juhudi zangu binafsi
 
Kaka nunua hii gari hapa chini bei yake kwenye mtandao ni $ 271

BF120595_5.jpg

BF120595_2.jpg

BF120595_4.jpg

BF120595_25.jpg

http://image-cdn.beforward.jp/files/pictures/201304/115309/BF1205
Lakini huyu nafikili siyo kaka maana jina lake ni [USER=133927]miss username[/USER]
 
Last edited by a moderator:
Kaka nunua hii gari hapa chini bei yake kwenye mtandao ni $ 271

BF120595_5.jpg

BF120595_2.jpg

BF120595_4.jpg

BF120595_25.jpg

http://image-cdn.beforward.jp/files/pictures/201304/115309/BF1205
Lakini huyu nafikili siyo kaka maana jina lake ni [USER=133927]miss username[/USER][/QUOTE]
(Bora umenisaidia mimi sio kaka)

Hilo gari zuri ila muundo wake kwakweli hapana mi siupendi
 
Last edited by a moderator:
Hazifungamani na mkopo wa aina yoyote ni juhudi zangu binafsi

Acha kuongopea watu mshaara wa laki 3 umedunduliza mil 7? mmh i dont buy that bull.ish,kama ujakopa basi umetumia uchumi uliokalia kujiongezea kipato that sit,kama unabisha weka huo mchakato ulivyozikusanya,kupata mil 7 inabid uiweke kwa mda wa miaka 2 bila kutumia hata sent na madada wana matumiz makubwa sana kwa mwezi hata kama unakaa home kazini lazima utakuwa unakula unatumia nauli unanunua nguo vipodozi etc
 
Naomba uzoefu kaka! Kwa laki3 mpaka unameki m7 umefanyajefanyaje! Maana kuna maisha mengine nayo yanahitaji ka laki3 hakohako duh!!

Asiongopee watu hata kama ameolewa mme wake anahudumia kila ki2 bado hawezi kumeki mil7 yeye anajua ameipataje hyo hela mkopo,uchumi aliokalia au uliberali,kuongwa na mapedeshee.
 
Naomba uzoefu kaka! Kwa laki3 mpaka unameki m7 umefanyajefanyaje! Maana kuna maisha mengine nayo yanahitaji ka laki3 hakohako duh!!

Bila ufisadi huwezi
 
watu wengine ka wase** jamaa kaomba ushauri wa gar ninyi mnaanza kuoji alikopatA pesa, ya nn ili iweje? na iwasaidie nn? watu wauswahilini bwana afu wengi.wa hivi haeana hata pikipiki, bro go ahead, nenda ufanye savei yard ukiwa na mtu mzoefu ka upo dar, laki ratu c kikwazo nikupe uzoefu, voda walinituza mkoko kwenye ile bahatinasibu yao kama unakumbuka, ckuwa pindi hicho na ajira ndo nilikuwa najiandaa kwenda chuo.

kaka niliimudu gari na hyundai vifaa ni bei balaa vilikuwa havipatkani zaid ya pale hyundai nyerere road. kwa mf: niligonga taa za mbele moja ilikuwa inauzwa laki 5 na 90, lakin ckuwai ishindwa, mpaka leo nnakaz chombo safi.

Acha kuongopea watu mshaara wa laki 3 umedunduliza mil 7? mmh i dont buy that bull.ish,kama ujakopa basi umetumia uchumi uliokalia kujiongezea kipato that sit,kama unabisha weka huo mchakato ulivyozikusanya,kupata mil 7 inabid uiweke kwa mda wa miaka 2 bila kutumia hata sent na madada wana matumiz makubwa sana kwa mwezi hata kama unakaa home kazini lazima utakuwa unakula unatumia nauli unanunua nguo vipodozi etc
 
watu wengine ka wase** jamaa kaomba ushauri wa gar ninyi mnaanza kuoji alikopatA pesa, ya nn ili iweje? na iwasaidie nn? watu wauswahilini bwana afu wengi.wa hivi haeana hata pikipiki, bro go ahead, nenda ufanye savei yard ukiwa na mtu mzoefu ka upo dar, laki ratu c kikwazo nikupe uzoefu, voda walinituza mkoko kwenye ile bahatinasibu yao kama unakumbuka, ckuwa pindi hicho na ajira ndo nilikuwa najiandaa kwenda chuo.

kaka niliimudu gari na hyundai vifaa ni bei balaa vilikuwa havipatkani zaid ya pale hyundai nyerere road. kwa mf: niligonga taa za mbele moja ilikuwa inauzwa laki 5 na 90, lakin ckuwai ishindwa, mpaka leo nnakaz chombo safi.

Hapa ni pa ma great thinker wewe keng.e hauwezi kuja na story yako ya kiuongo uongo tupoteze mda wa kuchangia tunampa makavu live,usitake nawe msengerema kudanganya watu hapa jamvin huna kazi lkn umeweza kununua taa ya gari laki 5 na 90,huna kazi lakin umeweza kuendesha gari ukiwa secondary mpaka ukaingia chuo? Upuuzi kama huu ndio hatuutaki humu we keng.e kaongopee wasengerema wenzako liberali mkubwa we.
 
Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.

Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.

Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.

Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?

Laki tatu afu m7 umetoa wapi ?
Naomba unipe mchanganua jinsi ulivyoserve, vinginevyo kumbuka ukimwi upo.
 
Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel

What if huwa anatumia taxi, afu anataka kununua kwa kificho ili awe anakodi naku- submit resit za gari yke!
 
Mie mwenyewe nimeshangaa, service rahisi hivyo, nimefanya service kama mwezi mmmoja umepita tena nimefanyia BP sh 70,000

Me mwenyewe nilishangaa....service si chini ya bei hiyo....la sivyo za uchocho ndo itakuwa hivyo...ila bibie mbona bp nasikia wako juu kibei si chini ya kilo...nielekeze hiyo bp ulofanyia niende next time
 
Hata mimi nilitaka kumwambia hiyo, Spacio ni nzuri haina gharama sana. Mwaya wasikutishe mshahara mdogo utamudu, halafu ndo utachemsha akili zaidi kuongeza kipato kwa vile utakuwa na miguu.

Asije akauza mbunye tu..hayaa
 
Acha kuongopea watu mshaara wa laki 3 umedunduliza mil 7? mmh i dont buy that bull.ish,kama ujakopa basi umetumia uchumi uliokalia kujiongezea kipato that sit,kama unabisha weka huo mchakato ulivyozikusanya,kupata mil 7 inabid uiweke kwa mda wa miaka 2 bila kutumia hata sent na madada wana matumiz makubwa sana kwa mwezi hata kama unakaa home kazini lazima utakuwa unakula unatumia nauli unanunua nguo vipodozi etc

Haswaaaa...umenena...au kauza shamba la urithI.may be may be
 
Nunua gari zuri unayoipenda. Ila pesa hiyo ni ndogo. Mshahara huo pia hautoshi kuhudumia gari kwa mwezi.
 
watu wengine ka wase** jamaa kaomba ushauri wa gar ninyi mnaanza kuoji alikopatA pesa, ya nn ili iweje? na iwasaidie nn? watu wauswahilini bwana afu wengi.wa hivi haeana hata pikipiki, bro go ahead, nenda ufanye savei yard ukiwa na mtu mzoefu ka upo dar, laki ratu c kikwazo nikupe uzoefu, voda walinituza mkoko kwenye ile bahatinasibu yao kama unakumbuka, ckuwa pindi hicho na ajira ndo nilikuwa najiandaa kwenda chuo.

kaka niliimudu gari na hyundai vifaa ni bei balaa vilikuwa havipatkani zaid ya pale hyundai nyerere road. kwa mf: niligonga taa za mbele moja ilikuwa inauzwa laki 5 na 90, lakin ckuwai ishindwa, mpaka leo nnakaz chombo safi.

Hapa ni Pa GT,ETI NILISHINDA ile gari Hyundai i10 za voda my as.s! Unakumbuka kwamba zilitoka mwaka 2010? Ulishinda watk bado haujaingia chuo na sasa bado unayo na ushaajiriwa,chuo ulianza lini na umemaliza mwaka gani? Na kazi umeanza lini? Labda kama ulisoma chuo cha upendo vocational training centre cha sinza.
 
Kwa mshahara wa lk 3 bibie..jiandikie maumivuuu...kwa mwezi tu yenyewe inakula hiyo lk 3....usije jipa moyo gari haili mafuta.kumbuka km nI dar foleni ni mwake...so ka wese ka elfu 10..usishangae kakanyonywa kote....hapo hujala., hujalipa kodi km umepanga...hujavaa...hujafanya service...unless unaishi kwenu na unaprovidiwa kila kituu.ht km ni pedezyeee sidhani km atakupa vyote hivyo...kwa mshahara huo sikushauri...coz m sure kwenye account utabaki empty
 
Back
Top Bottom