PostGE2025 Adui wa serikali ya Tanzania siyo Gen Z tu yapo makundi mengi

PostGE2025 Adui wa serikali ya Tanzania siyo Gen Z tu yapo makundi mengi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
1.Wazee wanaoishi kwa kuombaomba mitaani waliotelekezwa na ustawi wa jamii
2.Waliodhurumiwa pesa zao baada ya kufanya biashara na serikali
3.Waliofukuzwa kazi serikalini kwa uonevu bila sababu za msingi na kinyume na utaratibu
5.Wastaafu waliodhurumiwa mafao yao na serikali bila sababu za msingi
6.Wanaobambikiziwa kesi na polisi pasipo kufanya uchunguzi wa kina
7.Wakandarasi waliodhurumiwa malipo yao na serikali baada ya kufanyakazi mbalimbali
8.Kundi la vijana waliokosa ajira baada ya kusoma kwa mkopo wa serikali na kuambiwa wajiari bila kupewa fursa na mitaji
9.Wagonjwa waliokosa matibabu kutokana na mpango mbovu wa serikali kupitia mfuko wa bima ya afya
10.Waathirika wa uzembe wa serikali na na watumishi wake
11.Ongeza kundi lako

Serikali ya Tanzania imalizane kwa maridhiano na makundi haya siyo viongozi wa dini na vyama vya upinzani au wazee
 
Ni kale ka deep state kanako remote serikali hakataki mabadiliko.
Wanakaita mtandao
 
Ukiwa mpenda haki ndani ya nchi yako hukosi kubatizwa majina ya ajabu.
 
Back
Top Bottom