Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Nadhani hii inakuwa na manufaa sana kwako sababu kama mtu alimuua ndugu yako kwa mateso au hawa wanaotoa kiungo cha binadamu (au hata rape) inaweza kuacha kovu la maisha kwa mtu ambalo ni mateso kuliko hata kifo..., nadhani watu kama hawa kupewa instant kifo inakuwa ni kama wameget off lightly
Wacha wa get off lightly, mimi sitaki kumuona wala kujua kuwa yupo. Na yeye aende zake aondoke duniani, ni hilo tu
Kifungo cha maisha apewe kwa kunisikiliza mimi niliofiwa, baada ya kwua tayari kulipa fidia kubwa sana.