andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,031
- 120,513
Zaidi ni bibi Makula (mama yao) ndiye mtu wa watu, anacheka na kila mtu, amesaidia wengi kwenye ajira kupitia watoto wake.Atazikwa na nyome ya watu maana mdogo wake Gen DAM ni mtu wa watu na anakubalika sana.
always there! Aden may your Gentle Soul rest in Eternal peace
