Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Mkuu Bujibuji utakuwepo msibani leo? Maana mm ndy naelekea huko ingependeza tumanyane tuponanye mwalafyaleHatari sana
Mkuu Bujibuji utakuwepo msibani leo? Maana mm ndy naelekea huko ingependeza tumanyane tuponanye mwalafyaleHatari sana
Ndio binadamu tulivyo hujafa hujaumbikaMajirani zangu Kyela hao , ila mkuu kaugua si mchezo , Apumzike kwa amani .
Mwaka juzi walizika mdogo wao mwingine alikuwa anaitwa KenYeah mama ni MTU wa watu sana
Rip Aden,..msalimie rafiki yangu Muungano a.k.a Professor Saitoti.
Mwaka juzi walizika mdogo wao mwingine alikuwa anaitwa Ken
Ubombile tununu!Khangi kuli ni Mboto fijo !
Hapana, wote walilelewa na kusomeshwa na baba yao ambaye pia aliwahi kuwa ofisa wa ngazi za juu wa Jeshi la Polisi miaka ya nyuma.
Kuna dada yao naye pia ni askari wa cheo cha juu
Sijafikiria, ulitakaje?
Aden your where more than a Brother to me and I believe anyone who seeked your help or advice always there! Aden may your Gentle Soul rest in Eternal peace
Rhoda sio Askari nakumbuka alikuwa anafanya kazi kwenye ejio moja hivi Kama sikosei na ana mtoto wa kiume mkubwa kabisaRoda sio askari.
Matendo yake yamfuate alipo!Aliyekuwa msemaji wa jeshi la Polisi ndugu Aden Mwamunyange amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwamunyange ambaye ni Kaka wa Davis Mwamunyange aliyekuwa CDF.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
View attachment 1545215
Ile familia sijui kuna tatizo gani walizaliwa watoto 10 Kama so 11 lkn wamepukutika wote wamebaki wawili tu Gen Davis na dada yake Rhoda mwamunyange
Mkuu Bujibuji utakuwepo msibani leo? Maana mm ndy naelekea huko ingependeza tumanyane tuponanye mwalafyale
Erick ni ndio nilikuwa namfahamu...tukiwa wadogo alikuwa anakujaga home na mtoto wa kaka yangu..ila sijamuona kitambo sanaRhoda sio Askari nakumbuka alikuwa anafanya kazi kwenye ejio moja hivi Kama sikosei na ana mtoto wa kiume mkubwa kabisa
Kununu naloli nkhamu ghwanguNgonga, Itunge, Tenende, Bujonde, Matema etc Kyela kununu mwee
Ooh, yes nimekumbuka Mkuu. Nadhani alikua ILo au shirika fulani la kimataifaRhoda sio Askari nakumbuka alikuwa anafanya kazi kwenye ejio moja hivi Kama sikosei na ana mtoto wa kiume mkubwa kabisa
Dr wa Tumbi alikuwa anaitwa NasserNgete(Looser),Muungano(Prof Saitoti),Yule daktari wa Tumbi,Kenny...rest in power our comrades
Ni PM mzee ili nikutafute tuyajengeMimi ntakuwa hapo by SAA 6..tusalimiane