Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
- Thread starter
- #221
Unayo namba ya yule mzanaki?
Ninayo ya SHANI - Nitakutafutia leo jioni maana lazima nipite pale piga ua! Naomba ya Nuru usichukue tafadhali!
Unayo namba ya yule mzanaki?
Ninayo ya SHANI - Nitakutafutia leo jioni maana lazima nipite pale piga ua! Naomba ya Nuru usichukue tafadhali!
Infii haachwi.....wala huchukuliwi...
B.EManeno ntasema nini nyie mmemaliza kila kitu...Mhhhh nlikuwa nikipita bar na Mr. najitahidkutoa macho asije akakonywezwa na hao wadada kumbe wapi...,Kumbe ndo kama alivyosema Aspirin! Huwa wanauchuna hahahahhahaha wanauchuna duh!Sema Uda'a, acha kulia!Kwani maeneo unayoishi hamna baa jirani? Pitia basi jioni ya leo uone Bar maids wanavyotujali!
Umekalili sheria namna hiyo wewe kiboko.........husahau hata moja kha!!! Nyie wababa wabaya sana nyie
Heheheh kumbe!Bac ndio maana baba nanihii kila siku ananiliza heheheHalafu sijiui ni macho yangu......Eti ukilia uzuri wako unaongezeka?
Heheheh kumbe!Bac ndio maana baba nanihii kila siku ananiliza hehehe
ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....!
ngoja kuna namba zake hapa.....!
halaafuuuuuuuu....una namba za irene wa bar mupya?a.k.a waaaaooooooooooooooooooh
Irene si alihamia Fyatanga....
Juma yule fundi seremala ndo alikuwa kamfanya kama mkewe....... nasikia kashaoa kabisa!
Baba_EnockUkweli ni kuwa bar maids hawajioni matawi ya juu unlike mademu wa ofisini or elsewhere, bar maid are very cooperative, supportive, well enganged & connected hasa unapoongelea sexual affairs, na wapo faster hawadengui, au kujiona wapo juuuu, tena unaweza kuta bar maid mremboooo still yupo open kumla fasta kama chips mayai, imagine demu la ofisini libaya linaringia elimu & anadengua, ndio maana wanaume wengii wanawafuata, na bar maids unakuta kavaa mini rojorojo na chupi pekee, unaona machine, na hawana wivu, ukila leo, akikukuta na demu mwingine hakuulizi, that is itMr President,hapo bold ndipo ninapojiuliza why? Unadhani urahisi wao ndiyo kivutio chao? Mimi hapa ofisini kwangu msichana akinizoe zoe bila mpango nampiga ban! Lakini a few hours later unanikuta nakunywa Serengeti Baridi pembeni yupo Amina - Hongera Baa au Corner baa pembeni yupo Ashura.. Naweza kunywa hata bia kumi na kuondoka saa sita usiku bila hata ya kuwazia ku-do naye! why?
furniture centerMaseremala walisha laaniwa kwa kutengeneza msalaba wa yesu.....ulishawahi kusikia seremala tajiri?
Yaani we ndo umepotea njia sijapata kuona...... khaa!Bar maid = ukimwi .. Kwani kila mlevi anamtolea udenda!
Dah! Mhhhhhhhhh! Kha!Baba_EnockUkweli ni kuwa bar maids hawajioni matawi ya juu unlike mademu wa ofisini or elsewhere, bar maid are very cooperative, supportive, well enganged & connected hasa unapoongelea sexual affairs, na wapo faster hawadengui, au kujiona wapo juuuu, tena unaweza kuta bar maid mremboooo still yupo open kumla fasta kama chips mayai, imagine demu la ofisini libaya linaringia elimu & anadengua, ndio maana wanaume wengii wanawafuata, na bar maids unakuta kavaa mini rojorojo na chupi pekee, unaona machine, na hawana wivu, ukila leo, akikukuta na demu mwingine hakuulizi, that is it
Maseremala walisha laaniwa kwa kutengeneza msalaba wa yesu.....ulishawahi kusikia seremala tajiri?
Swali moja, jibu moja.......kulaaaaalekifurniture center
chafya tu, ushuzi huoooooooooooSwali moja, jibu moja.......kulaaaaaleki
we ngoja tu wakutandike bakora mkuuAisee
Inauma sana asee