Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Mary amekutafuta sana pale Kerege.jukwaa la barmaids.....!
hivi bi-ii hawa bar-men inakuwaje?....
Mary amekutafuta sana pale Kerege.jukwaa la barmaids.....!
hivi bi-ii hawa bar-men inakuwaje?....
Msasha nipo sana tu. tunapishana humu humu ndani.
natafuta infii....!Potea sana wewe nini shida??
aisee.........!Mary amekutafuta sana pale Kerege.
jukwaa la barmaids.....!
hivi bi-ii hawa bar-men inakuwaje?....
asee baba enock....sasa ngoja kwanza....namba ya jack wa sugar rays vipi?unayo karibu?Unatafutwa sana na Amina wa "kwa Afande"!
Aisee umenikumbusha Mshikiz wa Etienez!asee baba enock....sasa ngoja kwanza....namba ya jack wa sugar rays vipi?unayo karibu?
i lv them barmaids
ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....!Aisee umenikumbusha Mshikiz wa Etienez!
asee baba enock....sasa ngoja kwanza....namba ya jack wa sugar rays vipi?unayo karibu?
i lv them barmaids
natafuta infii....!
Mtu anakuletea kinywaji ukipendacho, kwa wakati muafaka!
Ok.....ngoja nicheki fonbuku....nimsabahi mmoja.....
hivi hapa amebaki nani?
Mhhhhh baada ya kusoma comment zote......
Nimejua mengi, nimecheka kweli ila NIMESIKITIKA sana pia kha!
Nyie wababa nyie mhhhhhh, haya tu wacha ninyamaze.
Mhhhhh baada ya kusoma comment zote......
Nimejua mengi, nimecheka kweli ila NIMESIKITIKA sana pia kha!
Nyie wababa nyie mhhhhhh, haya tu wacha ninyamaze.
Nyamayao! Hapa ni kukaza msuli tu kwenye MAOMBI, hawa viumbe hawaeleweki sijui waliumbwaje dah!!kwa kweli hiyo ni baraka, damn! cpati pic kabisa kabisa, halafu hawa watu wametoka makazini kutwa nzima, hao nao wameshinda wakikimbizana na kazi, wanakutana tu na kuduu, kweli kuna watu hamna vinyaa kabisa, nyie wanaume hebu niambieni, mnafanyaga kabisa kabisa kama mipango mizima mnavyofanyaga nao? romance etc, kweli mnaniudhi hamjui tu.
Halafu sijiui ni macho yangu......Kunyamaza siwezi km mambo yenyewe ndo hayo...
Unatafutwa sana na Amina wa "kwa Afande"!