pole broPoor freebasics
Sisi twala bata
😂😂😂😂😂😂Mbasha nasikia kapigwa ngwara hadi akaenda kuangukia nchi za nje Kinyerezi.
Utani na wavuta bangi we mtu wa gospel we ulisikia wapi?
Adam na mbasha wapigana jukwaan baada ya mbasha kumtolea maneno ya kashfa Adam angalia video
Ule ni "MTATA" sio mtama ule maana jamaa alitembea kama mbuzi
HahaaHuyo Mbasha!!!! Alikuwa amekunywa au kavuta nini kabla!!.. duh!!!
Anataja Bangi.. kwa mkusanyiko kama huo.. akitaka waongelee bangi anayoijua yeye na matumizi yake au?
Shame on him
Msanii haina shida ila akivuta athumani wa mburahati anapelekwa jela..Sasa msanii kuvuta bangi kuna shida gani jamani
Fanyaje kuhusu niniTunafanyaje
Na mamasukari wake alishaenda MbinguniMbasha ana bahati mbaya sana.
Kanyang'anywa mke na mkereketwa na mfurukutwa wa ccm ndani ya kanisa la ufufuo na sasa kalambwa mtama katika tamasha la kuikikisha ccm..
Na wewe naye unazidi kha!Yani watu huwa hawatafakari mambo, hapa kuna Jambo MUNGU kalifanya ila watu hawatajua Kwa haraka haraka, mmeandaa shughuli mmekodi matv meeeengi halafu walioko kwenye jukwaa wanapigana live na kutukanana live mamilioni Ya watu wakiwa wanatazama, maaana yake nikuwa mmetia aibu kubwa, pamoja na pesa mlizowalipa wamekuja kuwaharibia shughuli ambayo hata rais wa nchi alikuwa akiitazama, MUNGU kafanya Kwa kupitia hao wasanii mliotamba nao