Washa piga msuba hao hakuna mzimaAdam na mbasha wapigana jukwaan baada ya mbasha kumtolea maneno ya kashfa Adam angalia video
Afadhali wangetoana macho kabisa kama alivyosema MusibaAdam na mbasha wapigana jukwaan baada ya mbasha kumtolea maneno ya kashfa Adam angalia video
SubutuuHivi wapinzani wangefanya tamasha kama Hilo wangepewa kibali Kweli?
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Tatizo hao ni wapiga msuba wa lumumbaHiyo leo ndo itakuwa habari sasa,sijui tunakwama wapi..
Wale bange mkuu zinawasumbua