Hakutangaza kugombea Urais? mimi nawashangaa sana watu badala ya kuwaomba watu kama kina Kimey au Manji au Mengi ndio wawazindulie hizi project wao wameng'ang'ana na wanasiasa!! usikute macho yake yalikuwa kwa warembo tu.
naunga hoja....project inataka siasa ama mwenye pesa?...jibu...pesa ...na si kila mwanasiasa anaweza influence pesa especially kama huyo malima ...analima nini kwanza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.