elly mkenda
Member
- Aug 5, 2012
- 7
- 0
Haya yote yapatiwe ufumbuzi kwenye katiba, kama m2 anashindwa kuheshimu matakwa ya chama aachane nacho. Unapokubali kuwa chini ya uongozi lazima ukubali kuwa kuna wakati utatofautiana na wenzako ila ukiona umeshindwa basi jipime. Mimi wasiwasi wangu mkubwa ni vijana wanaoingia kwenye siasa bila kuandaliwa kimaadili kwa maana ya uongozi na namna ya kuzikabili challenge za leadership.