Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Wacheni kulishwa sum vichwani mwenu UKAWA si CDM hilo lifahamike
ni juzi tu mmemualika Lowasa.
Wacheni kulishwa sum vichwani mwenu UKAWA si CDM hilo lifahamike
Chadema mkikataa basibjueni nccr,cuf,nld na act wataungana mkikubali chama kimekufa sababu watz tutawapuuza kwa siasa zenu za chuki na majungu
Mkuu umesahau kuwa ccm walishaungana na ccm,
Lakini pia mbatia ni zao la kikwete ndani ya ukawa ukiyajua haya utaacha kupayuka hovyo.
CDM wanachotakiwa kuelewa kwa akili zao walizojaliwa na Mungu ni kwamba ACT-Wazalendo siyo Zitto tu, kuna wafuasi lukuki ambao wanaitakia nchi hii mema.
Hao ndo inatakiwa waangaliwe na wapewe masharti kama ikibidi, nje ya hapo bado mafisadi wa CCM wataendelea kutu-colonize
Mkuu mbona vuvuzela nape alikanusha kuwa ACT na CCM hazina mahusiano yoyote yale....hata kiongozi mkuu wa ACT nae amesema suala hilo ni propaganda tu na halina ukweli wowote ule.
Sio siri kwamba ACT ni tawi la CCM. ACT kama wameandika barua kutaka kujiunga na UKAWA watakuwa wametumwa na CCM kwenda kuivuruga UKAWA tu na si vinginevyo. Hakuna asiyejua kuwa ACT ni kundi la usaliti likitumiwa na CCM.
Hata kwa akili za kawaida tu asingetegemewa asimame na kutangaza kuwa ACT ni tawi la CCM. Vinginevyo tungemuona amechanganyikiwa
Sio siri kwamba ACT ni tawi la CCM. ACT kama wameandika barua kutaka kujiunga na UKAWA watakuwa wametumwa na CCM kwenda kuivuruga UKAWA tu na si vinginevyo. Hakuna asiyejua kuwa ACT ni kundi la usaliti likitumiwa na CCM.
Hata kwa akili za kawaida tu asingetegemewa asimame na kutangaza kuwa ACT ni tawi la CCM. Vinginevyo tungemuona amechanganyikiwa
Mkuu inaelekea Una Dr ya Diplomasia maana umesema vizuri Sana. Japo hata Mimi barua hiyo nisingepokea endapo ningekuwa Mwenyekiti mwenza wa Ukawa. Ila point uliyoitoa ni nzuri sana
Chadema mkikataa basibjueni nccr,cuf,nld na act wataungana mkikubali chama kimekufa sababu watz tutawapuuza kwa siasa zenu za chuki na majungu
Agizo la Chama Twawala = ACT
watanzania gani jisemee wewe.ACT ni kundi la wasaliti so halitakiwi kupewa ushirikiano.