ACT - Wazalendo waomba kujiunga na UKAWA

ACT - Wazalendo waomba kujiunga na UKAWA

Zitto mnafiki sana,amewatega viongozi wa UKAWA ,hana dhamira ya zati ya kujiunga UKAWA wala kuwakomboa watz,sema bdo hawajakustukia tu,
nachofahamu Zzk alipopita kote wanamwambia ajiunge UKAWA,na wanamwona kama msaliti,so kukwepa lawama kawazuga wananchi kwamba naye ameomba kujiunga na UKAWA akijua kabisa kwamba CDM na UKAWA watamtosa then arudi kwa wananchi akiwahadaa kwamba yeye alikuwa anapenda kujiunga UKAWA bt amezuiwa,ni.katika mwendelezo wake wa unafiki na ulaghai
 
Si ndio huyu Yuda eskarioti aliyesema kwamba ukawa ni wasaka tonge,ACT ikajiunge na bwana wake CCM atuanchie wasaka tonge wetu tuondelee nao sisi tumewakubali.

unawakumbuka waliosema mashoga,au CCM b
 
Chama cha ACT-Wazalendo kimeandika barua kwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) kikiomba kujua masharti ya kujiunga ili nacho kiwe sehemu yake,imefahamika.

Katibu mkuu was ACT,Maingu Samson Mwigamba,alilithibitishia gazeti hili kwamba chama chake kilituma barua ya kuomba kujiunga UKAWA Jumamosi iliyopita,April 25,2015,kwa vyama vyote vinavyounda UKAWA lakini ile iliyokwenda CHADEMA ilirudi.

"Ni kweli kwamba tuliandika barua kwenda kwa vyama vinne vinavyounda UKAWA. Malengo ya ile barua yalikuwa mawili; moja ni kueleza nia ya kutaka kujiunga na umoja huo na pili ni kuuliza ni utaratibu zipi zinatakiwa kufuatwa kabla ya chama kuruhusiwa kujiunga na umoja huo..."

Chanzo: RAIA MWEMA 29/04/2015
Why Zitto anahofiwa sana? I think the problem here is leadership positional. Mbona CUF tuliwatukana na kuwaita ccm B na mashoga but still wamekubali kuungana nasi? Tuache uroho wa uongozi na hofu zisizo na msingi.... kama kweli tunahitaji kuitoa ccm we must join and formulate more power. Unless Iam the one who will not vote to UKAWA.
 
Wakuu naomba mchukulie hii kama tetesi ama habari isiyorasmi,bt kutoka kwenye chanzo changu cha ndani ya mfumo na kwa mfalme --------- ACT.

Ni kwamba ombi la kiongozi mkuu wa ACT wazalendo kutaka chama chake kikaribishwe na hatimaye kuwa sehemu ya UKAWA ni mtego kwa viongozi wa vyama vinavyounda UKAWA,

Ipo hivi baada ya mfumo kuona hakuna namna rahisi ya kuiokoa CCM isianguke lile anguko kuu mbele ya UKAWA imara,jamaa wa magomeni wakaibuka na mpango mkakati wa kuuvuruga UKAWA kupitia kwa kijana wao ---------,wakampa ramani,atangaze chama chake kutaka kujiunga UKAWA,wakiwa wanajua chama chake alichokisaliti CDM hakitakubali wala kumkubali jamaa awe sehemu ya UKAWA,na hapo ndipo mtego ulipowekwa na hao jamaa wa serikali ya CCM,

Baada ya CDM kukataa ACT isiwe sehemu ya UKAWA,wapo waandishi na watu wa kushinda mitandaoni kupotosha na kufanya propaganda ili kuichafua CDM na viongozi wake wakuu kwamba hawataki kuungana ili kuiondoa CCM madarakani,na katika hili mnaweza kuliona limeshaanza kwenyz mitandao na kwenye baadhi ya magazeti.

Mpango utakaofuata ni kuwafata viongozi wa vyama wenza wa UKAWA yaani wale wa NCCR na CUF kuwashawishi kwamba wanaburuzwa na CDM kwenye UKAWA,na kwamba kuifanya CDM ionekane ndo imevaa koti la UKAWA ,na hapa nimedokezwa kuna viongozi wa "kati"ndani ya vyama vya NCCR na CUF hasa wale walionekana tokea awali kupinga UKAWA ama kuipinga CDM isitie mgombea urais waziwazi,nafikiri mnamjua,wawachochee viongozi wao wa juu waikaribishe ACT UKAWA na hili watalifanya bila kujua,watapewa sapoti na (mfumo)then kuna kiongozi mkubwa wa vyama hivyo viwili watamtishia kuanika baadhi ya siri zake,kama hatokubali ACT ijiunge UKAWA kama mbadala wa CDM,atakubali na atawaaminisha wenaake kwamba ni faida kuwa na Zzt ndani ya UKAWA kuliko CDM,hapa CDM itaombwa wafanye tathimini upya wa ugawaji wa majimbo na kuachiana ili aje na pendekezo jipya then CDM wagome na waamue liwalo na liwe ,then atalazimisha CDM iikubali ACT na mwisho CDM itakataa (wanategemea) na hapo watasema wao wataendelea kushirikiana na ACT,hapo ndipo itakuwa mwisho wa UKAWA ya sasa na kuundwa nyingine ikiwemo ACT,na hapo CCM itakuwa na uhakika wa kushinda udiwani,ubunge na urais kwa kiasi kikubwa.

Jiulize leo kiongozi mkuu wa ACT anapata wapi ujasiri wa kuomba ajiunge UKAWA ,wakati aliwabeza kwa kuwaita ni mujngano wa wasaka tonge?je usaka tonge umebadilika lini?unaona magazeti yanayokomaa na issue ya kuionesha jamii kwamba ACT inataka kuungana na UKAWA ili kuitoa madarakani CCM bt CDM haitaki,hapa lengo kuu ni kuchafua taswira ya CDM na viongozi wake kwa wananchi.

Mpango huu nimedokezwa unaratibiwa kwa ufundi sana na idara,na kuna mikono ya vigogo wa magamba nyuma,majina kapuni,wazalendo wanaoipenda nchi na kupenda mabadiriko wanaendelea kutafta data zaidi,nitazidi kuziweka hapa na kuanika nia ovu ya hili tawi la CCM la ACT na viongozi wake.

Niwaombe viongizi wa UKAWA kuwa imara zaidi,kutobadirisha misimamo na wawe makini na baadhi ya viongozi wa chini wa vyama vyao,kamwe giza haliwezi kushinda Nuru,UKAWA tumaini letu,Mungu aubariki umoja huu udumu,na mwisho na waambia ACT ,badala ya kutaka kubomoa UKAWA kwa gia hiyo,bora wajiunge CCM watengeneze muungano wao na tuwajue,hawataweza,Nasema ACT haina dhamira ya kweli kujiunga UKAWA bali wanatumiwa kuvuruga UKAWA,wanatafta huruma ya wananchi ionekane wanabaguliwa bt ukweli wanatumiwa na mfumo umeoamua kuisaidia CCM,viongozi wangu wa UKAWA msimjibu Zzk na ACT yake,kwani jibu moja litawapa kick.
 
Why Zitto anahofiwa sana? I think the problem here is leadership positional. Mbona CUF tuliwatukana na kuwaita ccm B na mashoga but still wamekubali kuungana nasi? Tuache uroho wa uongozi na hofu zisizo na msingi.... kama kweli tunahitaji kuitoa ccm we must join and formulate more power. Unless Iam the one who will not vote to UKAWA.
Haha..kweli huyu msaliti anayo kazi....bahati mbaya YUDA ALIPOTAKA RUDISHA HELA jamaa hawakuzitaka tena...Zitto si mshirikina hajui ktk ushirikina hajui ,ukishakosea masharti ktk uganga unahitaji face reality?Arudi kuwapa CCM hela zao.USijifanye na wewe ni shemu ya halafu unaongea wendawazimu....CUF hawakusaliti Chama,wala kuhatarisha maisha ya viongozi na wanachama,wala hawakuuza majimbo yetu....Mbona mapema sana Zitto kuhangaika?Hakuwa na plan?Mbola alianza mbwembwe zamani kabla ya UKAWA?Mbona anakuwa km mtu aliyekutana na mwingine njia na kugeuza njia?
 
Zitto mchokozi sana wewe mtoto...
Anywayz..tatizo Mboowe anajua kuwa ACT ikiingia basi lazima Zitto asimamwishwe kuwa mgombea urais

Sometimes changanya za kwako, sasa Zitto 2015 agombee kwa katiba ipi? Kwani huko ACT hawawezi kumsimamisha kama umri unamruhusu? Kwa nini akimbilie UKAWA wakati kipindi cha Bunge Maalum la Katiba alidai kuwa UKAWA ni wasaka TONGE? Je ni lini UKAWA wamebadilisha mtazamo wao wa kutokuwa WASAKA TONGE? Wiki ya kwanza tu alipopewa U-Ay.at.olla.h, alidai mwana ACT yeyote atakayeshirikiana na UKAWA atahesabiwa kuwa ni MSALITI. Sasa kwa nini wanaandika maombi ya kujiunga na UKAWA wakati huo ni usaliti? Ni lini vikao vilikaa vikatengua hiyo kauli ya USALITI? Yaani Ay.at.olla.h anaamua chochote bila vikao, hata makampuni yana bodi. Yeye akae na Rostam, Karamagi, Lowassa, na bilioni zao.
 
Usaliti unaanza a kumkaribisha msaliti na wasaliti wenzie ambao nia na madhumuni yao makubwa ni kuisambaratisha CHADEMA. Wameona kuisambaratisha CHADEMA ni ndoto za alinacha sasa wanataka kuingia UKAWA ila wakavuruge mshikamano uliokuwepo. UKAWA hatutaki wasaliti wala hatutaki ayatullah.

Hakika pote duniani hakuna msaliti hata mmoja halisha baki salama,mungu hawezi kumwacha ZITTO KWA TAMAA YA HELA ZA KUPEWA ATUCHEZEE WATANZANI,ANATUFANYA DILI?UKAWA NI SAUTI YA MUNGU TUTOA WATANZANIA UTUMWANI.
 
"Taifa limevimba. Wakulima Mahindi yanawaozea na Mpunga bei imeporomoka sababu ya mchele kutoka nje na usiolipiwa Kodi. Wahisani wamezuia misaada ( sababu ya kashfa ya #TegetaEscrow ) Kiasi Serikali haiwezi hata kujiendesha. Unapoona wanasiasa wanagawana vyeo katika nyakati kama hizi ujue Taifa halina Viongozi bali wasaka utawala. Wasaka utawala badala ya uongozi ni #WasakaTonge tu"

attachment.php

Habari kama hizi ndizo zinazipa nguvu sheria mbovu kama zile zilizopitishwa juzi. Watu wamekosa pa kuichafua UKAWA wanabaki kuzusha tu.
 
Zitto mchokozi sana wewe mtoto...
Anywayz..tatizo Mboowe anajua kuwa ACT ikiingia basi lazima Zitto asimamwishwe kuwa mgombea urais

Uraia wa dada Zako ! Hujui hata umri wa mgombea urais unaharisha harisha tu kama una kipindupindu
 
Wakuu naomba mchukulie hii kama tetesi ama habari isiyorasmi,bt kutoka kwenye chanzo changu cha ndani ya mfumo na kwa mfalme --------- ACT.

Ni kwamba ombi la kiongozi mkuu wa ACT wazalendo kutaka chama chake kikaribishwe na hatimaye kuwa sehemu ya UKAWA ni mtego kwa viongozi wa vyama vinavyounda UKAWA,

Ipo hivi baada ya mfumo kuona hakuna namna rahisi ya kuiokoa CCM isianguke lile anguko kuu mbele ya UKAWA imara,jamaa wa magomeni wakaibuka na mpango mkakati wa kuuvuruga UKAWA kupitia kwa kijana wao ---------,wakampa ramani,atangaze chama chake kutaka kujiunga UKAWA,wakiwa wanajua chama chake alichokisaliti CDM hakitakubali wala kumkubali jamaa awe sehemu ya UKAWA,na hapo ndipo mtego ulipowekwa na hao jamaa wa serikali ya CCM,

Baada ya CDM kukataa ACT isiwe sehemu ya UKAWA,wapo waandishi na watu wa kushinda mitandaoni kupotosha na kufanya propaganda ili kuichafua CDM na viongozi wake wakuu kwamba hawataki kuungana ili kuiondoa CCM madarakani,na katika hili mnaweza kuliona limeshaanza kwenyz mitandao na kwenye baadhi ya magazeti.

Mpango utakaofuata ni kuwafata viongozi wa vyama wenza wa UKAWA yaani wale wa NCCR na CUF kuwashawishi kwamba wanaburuzwa na CDM kwenye UKAWA,na kwamba kuifanya CDM ionekane ndo imevaa koti la UKAWA ,na hapa nimedokezwa kuna viongozi wa "kati"ndani ya vyama vya NCCR na CUF hasa wale walionekana tokea awali kupinga UKAWA ama kuipinga CDM isitie mgombea urais waziwazi,nafikiri mnamjua,wawachochee viongozi wao wa juu waikaribishe ACT UKAWA na hili watalifanya bila kujua,watapewa sapoti na (mfumo)then kuna kiongozi mkubwa wa vyama hivyo viwili watamtishia kuanika baadhi ya siri zake,kama hatokubali ACT ijiunge UKAWA kama mbadala wa CDM,atakubali na atawaaminisha wenaake kwamba ni faida kuwa na Zzt ndani ya UKAWA kuliko CDM,hapa CDM itaombwa wafanye tathimini upya wa ugawaji wa majimbo na kuachiana ili aje na pendekezo jipya then CDM wagome na waamue liwalo na liwe ,then atalazimisha CDM iikubali ACT na mwisho CDM itakataa (wanategemea) na hapo watasema wao wataendelea kushirikiana na ACT,hapo ndipo itakuwa mwisho wa UKAWA ya sasa na kuundwa nyingine ikiwemo ACT,na hapo CCM itakuwa na uhakika wa kushinda udiwani,ubunge na urais kwa kiasi kikubwa.

Jiulize leo kiongozi mkuu wa ACT anapata wapi ujasiri wa kuomba ajiunge UKAWA ,wakati aliwabeza kwa kuwaita ni mujngano wa wasaka tonge?je usaka tonge umebadilika lini?unaona magazeti yanayokomaa na issue ya kuionesha jamii kwamba ACT inataka kuungana na UKAWA ili kuitoa madarakani CCM bt CDM haitaki,hapa lengo kuu ni kuchafua taswira ya CDM na viongozi wake kwa wananchi.

Mpango huu nimedokezwa unaratibiwa kwa ufundi sana na idara,na kuna mikono ya vigogo wa magamba nyuma,majina kapuni,wazalendo wanaoipenda nchi na kupenda mabadiriko wanaendelea kutafta data zaidi,nitazidi kuziweka hapa na kuanika nia ovu ya hili tawi la CCM la ACT na viongozi wake.

Niwaombe viongizi wa UKAWA kuwa imara zaidi,kutobadirisha misimamo na wawe makini na baadhi ya viongozi wa chini wa vyama vyao,kamwe giza haliwezi kushinda Nuru,UKAWA tumaini letu,Mungu aubariki umoja huu udumu,na mwisho na waambia ACT ,badala ya kutaka kubomoa UKAWA kwa gia hiyo,bora wajiunge CCM watengeneze muungano wao na tuwajue,hawataweza,Nasema ACT haina dhamira ya kweli kujiunga UKAWA bali wanatumiwa kuvuruga UKAWA,wanatafta huruma ya wananchi ionekane wanabaguliwa bt ukweli wanatumiwa na mfumo umeoamua kuisaidia CCM,viongozi wangu wa UKAWA msimjibu Zzk na ACT yake,kwani jibu moja litawapa kick.

C:C BAK, Mungi, Molemo Chademakwanza kirugenzi ya habari
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hao waendelee kutekeleza Agizo la Chama Tawala (A C T)
 
wale wabunge 50 vipi wameshayeyuka ndio anataka kujiunga Ukawa. apolee mbali.
 
Politics is a game. If u wanna be part of it, then be a good player. Hayo unayoyaandika hayana maana yoyote hapa. Iwe hivyo au isiwe hivyo, so what? We're just playing the game.
 
Back
Top Bottom