Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,753
- 27,477
hapa ndpo cdm inapocheza faul wamruhusu tu! kama kwelj NIA YA DHATI IPO
Heshima yako umeandika ukweli kabisa Chadema hakuna nafasi za wasaliti kama ACT labda akaungane na wasaliti wenzake ccm.
Mnakurupuka tu ku comment mmeangalia tarehe ya source of information??
Zitto mchokozi sana wewe mtoto...
Anywayz..tatizo Mboowe anajua kuwa ACT ikiingia basi lazima Zitto asimamwishwe kuwa mgombea urais
Zile ziara zao zimeishia wapi?
as long as cdm ndo chama chenye nguvu katika ukawa ni ngumu kwa act kukaribishwa. Cdm sumu ya ubaguz inawasumbua
sijawahi mtu mnafiki mwenye ubongo wa kusahau kma huyu Zitto alisema Ukawa ni wasaka tonge leo wameshasahau wanaomba kujiunga na Ukawa hawa ni wanafiki wakubwa wametumwa kuja kuivuruga Ukawa nampongeza sana Mbowe kwa msimamo wake hatuna nafasi ya kupokea wasaliti ndani Ukawa .Ahsante sana Mkuu, heshima ikurudie nawe. Huyu msaliti aliyedai yuko mbioni kuimaliza CHADEMA ifikapo June, 2015 na pia kuwaita UKAWA #wasakatonge anashangaza sana kutaka kuungana na UKAWA wakati huo huo yuko mbioni kuisambaratisha CHADEMA sijui anataka kufuata nini kwa wasaka tonge. Unafiki na usaliti wake unazidi kujidhihirisha na kumuumbua katika umma wa Watanzania.
Zitto mchokozi sana wewe mtoto...
Anywayz..tatizo Mboowe anajua kuwa ACT ikiingia basi lazima Zitto asimamwishwe kuwa mgombea urais
Hivi Zitto mzima kweli?
Things are moving too fast
Unajua tuwe wakweli.Ilitumwa na Kurudishwa na nani?
Kachawi kanatafuta access ya ukawa tacticsChama cha ACT-Wazalendo kimeandika barua kwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) kikiomba kujua masharti ya kujiunga ili nacho kiwe sehemu yake,imefahamika.
Katibu mkuu was ACT,Maingu Samson Mwigamba,alilithibitishia gazeti hili kwamba chama chake kilituma barua ya kuomba kujiunga UKAWA Jumamosi iliyopita,April 25,2015,kwa vyama vyote vinavyounda UKAWA lakini ile iliyokwenda CHADEMA ilirudi.
"Ni kweli kwamba tuliandika barua kwenda kwa vyama vinne vinavyounda UKAWA. Malengo ya ile barua yalikuwa mawili; moja ni kueleza nia ya kutaka kujiunga na umoja huo na pili ni kuuliza ni utaratibu zipi zinatakiwa kufuatwa kabla ya chama kuruhusiwa kujiunga na umoja huo..."
Chanzo: RAIA MWEMA 29/04/2015
"Taifa limevimba. Wakulima Mahindi yanawaozea na Mpunga bei imeporomoka sababu ya mchele kutoka nje na usiolipiwa Kodi. Wahisani wamezuia misaada ( sababu ya kashfa ya #TegetaEscrow ) Kiasi Serikali haiwezi hata kujiendesha. Unapoona wanasiasa wanagawana vyeo katika nyakati kama hizi ujue Taifa halina Viongozi bali wasaka utawala. Wasaka utawala badala ya uongozi ni #WasakaTonge tu"
![]()
hapa ndpo cdm inapocheza faul wamruhusu tu! kama kwelj NIA YA DHATI IPO
Msalimie zitto mwambie akumbuke 'ukawa wasaka tonge'
Wewe kiazi kweli. Kwani Raia Mwema hutoka jumangapi? Kwa hiyo kama gazeti ni la Jumatano linaenda mitamboni lini na habari ni ya lini?