Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Halafu hata aibu hawana! Sasa wanajibaraguza eti wanamshangaa Mbowe na msimamo wake kuhusu ombi lao! Unafiki wa hawa jamaa umepitiliza.
Waje wawe wasikilizaji tu maana mgawanyo Wa majimbo tulishamaliza! Watu Wa ndimi 2 sisi tutawaweza wapi? Nawashauri waende waimarishe umoja wao na Mme wao!!