ACT - Wazalendo waomba kujiunga na UKAWA

ACT - Wazalendo waomba kujiunga na UKAWA

tuna mitazamo tofauti mkuu, mi naona ACT kujiunga na UKAWA itakuwa(kama haijawa) ahueni kwa upinzani Tanzania, hawa jamaa walikuja kuvuruga kabisa nguv ya upinzani nchin..maana kwa inavyoonekana wangegawana wapiga kura na CDM na kuwapa ahueni CCM..
 
Inategemea pia na hali ya hewa
ACT wazalendo wamesoma alama za nyakati ndo means wameomba kujiunga UKAWA kwa sababu;*Hawana mbunge hata mmoja.*Hawana hata diwani.*wameonekana kutokuwa kivutio kwa wananchi.*ACT Ina viongozi mmoja tu bila maamuzi yake hakuna kitu kitafanyika.*Kiongozi mwenye mvuto ni mmoja tu na ana mvuto kwa wachache,wengine hawana mvuto.*chama kimefanya mikutano yake na hakikuwa na mvuto.Kwahiyo hiyo kwa vyovyote vile washasoma alama za nyakati na kuona kwa Sera ya ukawa kuweka mgombea wa nafasi za ubunge na udiwani anayekubalika kwa eneo hilo hawatapita,na hata kwa maeneo ambayo walikuwa wanategemea ukawa wakiungana ndo mwisho wao,so wakaamua kujiunga japo na wao wafikiriwe ili wapewe maeneo machache ambayo wataweka wagombea waungwe mkono na ukawa maana vinginevyo wasingekubalika.
umejitahidi kuwafurahisha wafuasi
 
Chadema mutumie akili mda mwingine mlikua mnasema act ni kwa ajili ya kugawa upinzani sasa wameomba kujiunga na ukawa ili kutoa ile fikra ya kugawa kura za ukawa. Mbona hamna jema wasingeomba je mngesemaje acheni sisa za maji taka nyambaf.
 
Chadema mutumie akili mda mwingine mlikua mnasema act ni kwa ajili ya kugawa upinzani sasa wameomba kujiunga na ukawa ili kutoa ile fikra ya kugawa kura za ukawa. Mbona hamna jema wasingeomba je mngesemaje acheni sisa za maji taka nyambaf.

Imekula kwenu na bado mtahangaika sana mwaka huu,mkajiunge na tlp,udp ndio size zenu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
vyama vyote vya ukawa vilisoma alama za nyakat ndiomaana vikaungan! Unayoyasema kwa act wazalendo ni applicable kwa vyama vyote vya ukawa, upo hapo ee kungekua kunachama kinachoweza kujitegemea kisingeungana.
good!. Unachosema ni sahihi.
 
ACT wazalendo wamesoma alama za nyakati ndo means wameomba kujiunga UKAWA kwa sababu;

*Hawana mbunge hata mmoja.

*Hawana hata diwani.

*wameonekana kutokuwa kivutio kwa wananchi.

*ACT Ina viongozi mmoja tu bila maamuzi yake hakuna kitu kitafanyika.

*Kiongozi mwenye mvuto ni mmoja tu na ana mvuto kwa wachache,wengine hawana mvuto.

*chama kimefanya mikutano yake na hakikuwa na mvuto.



Kwahiyo hiyo kwa vyovyote vile washasoma alama za nyakati na kuona kwa Sera ya ukawa kuweka mgombea wa nafasi za ubunge na udiwani anayekubalika kwa eneo hilo hawatapita,na hata kwa maeneo ambayo walikuwa wanategemea ukawa wakiungana ndo mwisho wao,so wakaamua kujiunga japo na wao wafikiriwe ili wapewe maeneo machache ambayo wataweka wagombea waungwe mkono na ukawa maana vinginevyo wasingekubalika.
Nia ni kupambana na wakoloni weusi ccm, but inafika wakati inashangaza kuona wengine wanawakatalia ACT to join UKAWA. Fikiri kama CUF au Mbatia, wangekua na chuki endelevu UKAWA ingekuwapo now? Tuache UKURUNZINZA.
 
Mwenye Mvuto ni yupi? ... Hao Wasaliti wa mageuzi ?
ACT wazalendo wamesoma alama za nyakati ndo means wameomba kujiunga UKAWA kwa sababu;

*Hawana mbunge hata mmoja.

*Hawana hata diwani.

*wameonekana kutokuwa kivutio kwa wananchi.

*ACT Ina viongozi mmoja tu bila maamuzi yake hakuna kitu kitafanyika.

*Kiongozi mwenye mvuto ni mmoja tu na ana mvuto kwa wachache,wengine hawana mvuto.

*chama kimefanya mikutano yake na hakikuwa na mvuto.



Kwahiyo hiyo kwa vyovyote vile washasoma alama za nyakati na kuona kwa Sera ya ukawa kuweka mgombea wa nafasi za ubunge na udiwani anayekubalika kwa eneo hilo hawatapita,na hata kwa maeneo ambayo walikuwa wanategemea ukawa wakiungana ndo mwisho wao,so wakaamua kujiunga japo na wao wafikiriwe ili wapewe maeneo machache ambayo wataweka wagombea waungwe mkono na ukawa maana vinginevyo wasingekubalika.
 
Back
Top Bottom