ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,967
zitto mwami ayyatollah mmeshaambiwa ni supreme leader alaf mnataka mjadili hoja zake??kwan iran hoja za khamenei zinajadiliwa??
Hakuna faida na ndio maana nikasema vyama vyote wanafanya makosa makubwa katika kuwanadi wagombea wao. Ni mfumo wa Kiumla unatumika kote nchini kiasi kwamba wakubwa wa kamati kuu, watatangazwa zaidi na kutembea nchi nzima kujiuza wakati wagombea wadogo kama wabunge wanamezwa hata katika maeneo yao. Bado vyama vinajiuza vyenyewe (watu wake) badala ya kugombea kuchukua nchi na hii inaonyesha wazi kuwa vyama n ahaswa vya Upinzani bado kabisa havijajiandaa kuongoza bali wanajitangaza.Sikatai wazo lako nakubaliana nawewe nilichokua najiuliza kwanini watumie garama kubwa kubandika kubandika bango la zito mikoani wakati yeye hagombei uraisi? Mathalan Mbowe anagombea ubunge jimbo la hai then mabango yake yanabandikwa mwanza au sumbawanga kuna faida gani hapo?