johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Zitto Kabwe amesema wanaoibeza ACT wazalendo kushiriki uchaguzi mdogo Kigoma ni Washamba.
Mimi nadhani Zitto Kabwe ndio mshamba kwa sababu anadhani ACT wazalendo ya Zanzibar ndio hii ya Tanganyika.
Chadema ni bora zaidi mara 10 kuliko ACT wazalendo kwa siasa za Tanganyika.
Zitto Kabwe ana kawaida ya kuwaita wenzake ni Washamba wakati yeye mwenyewe ni " bonge la mshamba"
Aliponunua ile Hammer ilibidi amuombe Freeman Mbowe amfundishe namna ya kuendesha magari ya thamani hapa mjini, sasa huo ujanja anautoa wapi?
Marudio: Simba 5 Kaizer Chiefs 0
Mimi nadhani Zitto Kabwe ndio mshamba kwa sababu anadhani ACT wazalendo ya Zanzibar ndio hii ya Tanganyika.
Chadema ni bora zaidi mara 10 kuliko ACT wazalendo kwa siasa za Tanganyika.
Zitto Kabwe ana kawaida ya kuwaita wenzake ni Washamba wakati yeye mwenyewe ni " bonge la mshamba"
Aliponunua ile Hammer ilibidi amuombe Freeman Mbowe amfundishe namna ya kuendesha magari ya thamani hapa mjini, sasa huo ujanja anautoa wapi?
Marudio: Simba 5 Kaizer Chiefs 0