Tuna watakia kila la kheri lakini Magufuli atapata kura yangu
Yes atapata ya watu kama nyie washirikina /Praise and worship
Tuna watakia kila la kheri lakini Magufuli atapata kura yangu
Sisi Watanzania Tuko tayari kushirikiana na mtu yeyote atayesaidia kung'oa ccm madarakaniNarud
Narudia tena na tena ! Hakuna mtu mnafiki na opportunist kama Zitto Kabwe ! Hapo anatengeneza namna ya kupata pesa huko diaspora ! Huyu jamaa kuna siku mtakuja mjua vizuri
Haya kila la kheri ubeberuni mkatwange maji kwenye kinu muishie kuloa vifua!
Sema wewe 'Mtanzanua' sio kuwasemea Watanzania ! Na mtasubiri mpaka kiama!😎 Zitto anaenda kutafuta hela we bidada !!!Sisi Watanzanua Tuko tayari kushirikiana na mtu yeyote atayesaidia kung'oa ccm madarakani
Unaota weweKutapa tapa
Wacha wapoteze Muda
Ila Hakuna wakumshinda Magufuli kwenye uchaguzi 2020
Never
Viongozi wa ziara hiyo inayoanza mara moja ni Zitto Kabwe na Nassor Mazrui , ambao wamepanga kuonana na watanzania walio nje ya nchi pamoja Mabeberu ili kuzuia ukandamizaji wa demokrasia nchini Tanzania ambao umefikia kiwango cha kutisha .
Watanzania wote makini wako tayari kuthamini mchango wa mtu yeyote popote alipo atakayesaidia kuhami na kutetea demokrasia na utu wa Mtanzania .
Kila la heri .
Matusi na uchawi ndio njia pekee ya masikini kujikwamua
Nakufaham vzr,wewe ni mtoto wa Magufuli alikuzaa nje ya ndoa lkn,huwa anakuhudumia!Waende salama lakini wajue tu kuwa sijaona wakunishawishi nimnyime kura yangu Magufuli hapo October.
kwani wewe kura zako ni ngapi ?monde arabe pole sana ndugu lakini kwa umri wa Mh Rais anaweza kunizaa tu mbona! Yote kwa yote awe kanizaa au hajanizaa lakini sijaona cha kunifanya nisimpe kura yangu.